Kuna baadhi ya PROFILE zinaonyesha ADMISSIONS tofauti. Kwa mfano mimi katika program nilizochagua nimewekewa ADMITTED computer science st Joseph Songea code JS001 kwa first selection.Lakini juu insema admitted JOSIAH KIBIRA kwa program hiyo ya computer sc. Josiah Kibira hakuna computer science.Mpaka sasa jina langu halipo st joseph.
wakuu msaada nifanyeje, Registeration ya st joseph ni 19/09/2012 :A S cry:
wakuu msaada nifanyeje, Registeration ya st joseph ni 19/09/2012 :A S cry: