haya wale Watakatifu wa Yohana wote mliochaguliwa ingieni kwenye website mpate orodha nzima na maelekezo yote muhimu, shime mjiandae tar. 8 october tukaanze kula kitabu.
HONGERENI SANA.:flypig:
Ndugu napenda niulize kwa wenye ufahamu kuhusu hili,.
Hivi kuna matumaini yoyote ya kupata mkopo kwa wanafunzi waliosomea masomo ya biashara na arts yaani EGM,HGE.ECA na HGL,HKL,HGK,KLF...
Katika kudhihirisha ule usemi wa "Huwezi kushindana na Serikali" tangu jana kuna zoezi la kuhakiki vyeti (academic) kwa walimu wa shule za msingi na sekondari za hapa jijini Mwanza. Wakaguzi...
NATAMANI KUONGEA UKWELI ILA NAHOFU KUNA WATU WATANICHUKIA HUMU NDANI
HEBU ANGALIA MAISHA YA HUYU KIJANA MWENZETU KUTOKA MOSHI VIJIJINI AMBAYE ALIKUWA NI MWANAFUNZI MWENZETU KATIKA CHUO CHA...
Asaalam wanajf..... Kuna best yangu kachaguliwa PR ila anataka kuchange kwenda HR ila mi nimemshauri asichange ,,,,, vipi km ni wewe ungemshauri vipi?????
USHUHUDA ULIONITOA CHOZI MBELE YA AKADAMNASI.........SOMA ILA USILIE
NAIKUMBUKA HII SIKU AMBAYO MWANAUME NILITOKWA NA CHOZI BAADA YA KUPATA USHUHUDA HUU KUTOKA KWA MDAU NINAYEMJUA KABISA NA...
Hello wanaJF!Nnaomba kujua utaratibu wa udahili na ufadhili kwa wale walio'apply' kwaajili ya masters' na phd katika chuo /taasisi ya teknolojia ya MANDELA kule ARUSHA!
NATANGULIZA HESHIMA WAKUU WENZANGU:
Jmn hv hii koz utakapoisoma baada ya kuhitim kidato cha nne je baadae unaweza kujiendeleza?
Na baada ya hapo utakuwa na cheo gan?
Na je?
Mishahara yao ni...
Wadau heshima yenu! Naomba mnisaidie haya yafuatayo, kwanza naomba tofauti ya hizi university programes kati ya:
BA. Arts in Education na BA. Arts with Education.
Pili, hivi mtu aliyesoma digree...
Matokeo ya wanafunzi walioomba vyuo kupitia TCU yanatoka kesho saa moja usiku..... samahani kwa sumbufu uliojitokeza
Ingia kwenye account yako then utajijua upo wap! Umechaguliwa au unahitajka...
Jaman watu woote mliochaguliwa kwny vyuo vikuu tz na nje,,kwa wale fresh frm skul plz take cr na uendacho kufanya, mi ni mzoef chuon kwn np mwaka wa 3 sa iv,ili ictokee ukaja kujuta plz fanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.