nover
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 235
- 174
habari wana jukwaa, mimi nimechaguliwa udsm bachelor of economics with statistics, ila ndugu zangu wamenishauri kua nikifika chuoni nibadili niamie accounts.....naombeni ushauri wenu je nibadili?, kwa ambaye anaijua iyo facalt na wigo wake wa kazi tafadhali anijuze, asanteni