Chuo cha maafisa ugani Naliendele - Mtwara, moto kinateketea kwa moto muda huu.
Nimearfiwa na mwanangu anayesoma huko.
Walio Mtwara watupe maendeleo ya hali hii tete.....
nimechaguliwa kujiunga na bsc in it pale ifm,ckujpng kwa ajil ya hyo kozi so hata mkopo ckuomba c mnafaham walichofanya tcu kwa baadh ya watu!!nahtaj n postpone mpaka mwakan ili niombe mkopo tu na...
Wadau Bodi ya mikopo kwenye matangazo yao pale ofisini walisema siku ya leo tarehe 1 October wataweka maelezo jinsi ya kukata rufaa kwa waliokosa mikopo. Lakini mpaka muda huu kwenye tovuti yao...
Hbr jf,naomba 2tumia elimu zetu za a/c kuchambua courses za baaf ya muccobs ambapo mm ni mwanafunz mwaka wa kwanza,pls pale penye mapungufu utoa kwa detail na penye kusifia pia hivyo hivyo,karibun...
Ivi deadline ya kuripoti kwa first year SAUT ni lini?
Maana mm nilichaguliwa uko bila ya kujua na mkopo wng umepelekwa uko uko.na kwa sasa nishalipia cost zte za udom, uku nasubr tcu watangaze...
Samahani wadau naomba kuuliza kama naweza kuamisha mkopo kutoka chuo kimoja kwenda kingine,sababu nimechaguli vyuo viwili na mkopo nimepelekewa chuo nisichokipenda,nawasilisha.
Naomba ushauri wana jamii forums niko kazini kama mwalimu na ndo nimemaliza shahada ya ualimu nimeapply upolisi na nimeitwa kwenye usaili unaoanza jumatatu. Nahitaji ushauri nisije kurupuka...
Priority Course-inamkopo by Loan BoardNon-priority course-Haina mkopoHivi naomba mnieleweshe waheshimiwa, hizi course zinapobadilika wale walioelimishwa kwa course hizo hizo wanapelekwa...
HakiElimu nimeona wameanzisha kampeni ya kuboresha elimu ya awali, Binafsi naona hili ni suala la kizalendo sana hasa ukiangalia elimu yetu inavyokwenda mrama, mpaka inafikia watu wanamaliza std...
Hivi hili neno linaeleweka kweli kwenye baadhi ya TOVUTI za wizara kwenye hii serkali yetu?
Nimejaribu kufuatilia kwa muda mrefu kwenye hii sehemu walipoweka eti ni CURRENT NEWS unakuta vitu...
Jaman naomba munisaidie mimi nimechaguliwa udom bachelor of education in special needs nimepatiwa mkopo sh mil 3 laki 2 alfu 27 na mia 5. Nimeshalipa direct cost lakin nimeshindwa kulipa kiwango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.