Nimepata chuo na ndooo najiandaa kwenda kufanya reg J3 naomba mnijuze ni kwa muda gani bumu nitapata baada ya kufanya registration. Heko kwa wadau wote
Je umepata chuo gani? Nenda kafanye usajili, halafu umuulize Afisa/Waziri wa mkopo hayo maswali yako, ukiona hakujibu sahihi, kama unao ubavu, kaulize bodi. Wakati mwingine uweke maelezo sahihi, inakuwa vigumu kupata ushauri ikiwa kama umeandika kama unachati na rafiki zako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.