Urgently needed

furaha2008

Member
May 31, 2012
24
0
Nimepata chuo na ndooo najiandaa kwenda kufanya reg J3 naomba mnijuze ni kwa muda gani bumu nitapata baada ya kufanya registration. Heko kwa wadau wote
 
Je umepata chuo gani? Nenda kafanye usajili, halafu umuulize Afisa/Waziri wa mkopo hayo maswali yako, ukiona hakujibu sahihi, kama unao ubavu, kaulize bodi. Wakati mwingine uweke maelezo sahihi, inakuwa vigumu kupata ushauri ikiwa kama umeandika kama unachati na rafiki zako.
 
Back
Top Bottom