ROGERSHINE
Senior Member
- Aug 15, 2012
- 129
- 82
jana nilikuwa nakatiza mitaa flani hapa sua,daaah nilipofika sehemu flani nikakutana na watoto flani wanachuo
wakiwa wametupia half dressing style
maswali kibao yakaanza kunijaa akilini hivi kweli kwa mtindo huu tutafika kweli
nahisi ule uamuzi niliojiwekea wa kutokuwa na demu chuo umeanza kupotea
bora na mimi natafute tu demu hapa chuo. arrrrrrrrrrrrrrghghghghg?
wakiwa wametupia half dressing style
maswali kibao yakaanza kunijaa akilini hivi kweli kwa mtindo huu tutafika kweli
nahisi ule uamuzi niliojiwekea wa kutokuwa na demu chuo umeanza kupotea
bora na mimi natafute tu demu hapa chuo. arrrrrrrrrrrrrrghghghghg?