Miwatamu
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 1,450
- 487
Kutokana na kuamini kwangu kuwa wewe ni mmoja wa wanajamii wanaopenda kuperuzi katika jamvi hili, nimeona kabla siku hazija yoyoma nikukumbushe kuwa kati ya AHADI rukuki ulizo ahidi wakati wa kampeni zako, kubwa ninalokumbuka ni lile la kumwaga Computer katika shule zote za msingi nchi nzima! Swali langu pamoja na kukaa chini kwetu madarasani! Je, Computer hizo lini tutazipata?