Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Habari zenu wana JF. Nina eneo jirani kabisa na vyuo na hapo kunahuhitaji mkubwa wa vyumba vya kulala. Nina ndoto za kujenga hostel yenye uwezo wa kurudisha pesa haraka lakini changamoto...
1 Reactions
32 Replies
30K Views
Hakuma Jambo linakera Kama Mtu afanye Ujinga Kwnye Technologia . ulishawahi nunua App Kutoka Store yeyote halafu Unakuta ni Fake. Basi mm najihisi nimepakua Application Fake kutoka Vodacom...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
GOLD (XAUUSD) Dominant Bias: Bullish Gold is now a bull market, which is supposed to continue for some time. The bullish trend that has started on Gold since the beginning of this year came...
0 Reactions
2 Replies
858 Views
Heshima kwenu wakuu. Natumai mnaendelea vyema kabisa. Bila ya kupoteza muda nimeskia tu juu juu kuhusu hii biashara nikasema ngoja nije hapa Home of Great Thinkers siwezi kukosa maelezo ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bearish In the context of a downtrend, this pair moved sideways from Monday till Friday, trending south on Friday. Price closed...
0 Reactions
0 Replies
357 Views
Wakuu, nikiwa mmojawapo kati ya wale wanaojihusisha na XBINARY kwa siku za karibuni imekuwa ngumu kutoa hela M-wallet. Na hii imetokea baada ya kuwa kwenye matengenezo ila hali hii imeendelea...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari za muda huu wana JF, Mimi ni mwalimu wa shule za msingi, nimefanya kazi hii takribani miaka 7 sasa tangu 2009 hadi sasa. Pamoja na juhudi kubwa sana za kusaidia kizazi cha watanzania bado...
4 Reactions
32 Replies
7K Views
Maisha hayampangii mtu namna ya kujiendesha bali mtu anayapanga maisha yaendeje baada ya kukaa mda mrefu nimegundua nilikuwa mjinga sana nimechelewa mno kwa kutokuweza kuyatawala maisha lakini...
28 Reactions
55 Replies
11K Views
Ndugu wanaJF, Nipo Spain kwa muda. Ni nchi nzuri na Kubwa ndani ya Ulaya. Watanzania wengi wanaijua sababu ya mchezo wa mpira, Real Madrid, Barcelona FC na kadhalika. Lakini watanzania...
5 Reactions
35 Replies
7K Views
Habari wana JF. Katika pita pita zangu nimekutana na fursa za uwekezaji katika kilimo, nikaona nilete hapa ili kwa wale watakaoweza kuhudhuria kongamano hili waweze kutuwakilisha watanzania. Ni...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Wataalamu wa masuala ya fedha husema, " I - E = i I = Income (uwekezaji) E = expenditure ( matumizi) i= investment (uwekezaji) Kwa tafsiri lahisi ni kwamba kipato cha mtu kutoa matumizi yake...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
AUS200 Dominant bias: Bullish The market consolidated from March 3 to 27, and then moved upwards protractedly till the end of March. The bullishness in the market is still being preserved...
0 Reactions
0 Replies
615 Views
Nimeona matangazo mbalimbali yakichagiza wananchi tununue hisa kwenye DSE (Soko la hiza la Dsml) kwa sasa Voda ndio habari ya mjini. Ukiangalia mauzo ya hisa yameshuka toka 33.3bn to 3.3bn...
13 Reactions
128 Replies
14K Views
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania Bi. Beatrice Singano kushoto pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Maendeleo Bank Bw. Ibrahim Mwangalaba wakisaini makubaliano baina ya kampuni hizo mbili...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Niliwahi kusoma juu ya hujuma za shirika la ndege la Afrika kusini kwa air Tanzania na ilivyopelekea kulidumaza kwa kuuza ndege zilizokuwepo kama chakavu na kuimalisha za kwao katika ardhi yetu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
[emoji95] Hivi kwanini ubaki ukinungunika juu ya ajira na Oriflame ipo kukupa fursa ya kujiajiri na kufanya biashara pamoja nayo? Usihofu kuhusu elimu yako kikubwa ni umri ambao ni miaka 18 na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna makampuni ya kuuza na kusafirisha magari ambazo si maarufu kama zilivyo tradecarviews, beforward, sbt, autorec na zingine. Kampuni kama Japan Cars And Trucks Co., Ltd kwangu ni ngeni ila...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Wakuu, kama kuna aliyewahi kununua kitu kwa masoko ya mtandaoni ya Tanzania atujuze, na ubora wao au udhaifu wao upo wapi!?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nataka kufungua chuo kwa ajili ya mafunzo ya kozi fupi(Certificate) zipi ni kozi zenye ajira kwa wingi. Naombeni ushaurii wadau.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa zaidi ya wiki mbili hakuna network hivyo wanashindwa kusajili walipa kodi wapya wenyewe wana dai service provider wao ndio tatizo
0 Reactions
5 Replies
784 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…