Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Nauza pesa za koloni ya Ujerumani nitapata wapi mnunuzi pesa ye nye DEUTSCH OSTAFRIKASCHE GESELLSCHAFT ya mwaka1892.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Lawrence Mafuru ambaye ni Msimamizi wa Masuala ya Kisheria (Statutory Manager) wa FBME akiongea katika mahojiano maalum na Kwanza TV ameeleza kuwa kumekuwa na mabadiliko ya msingi katika mfumo wa...
5 Reactions
94 Replies
11K Views
Wadau, Nina mashine ya kusaga na kukoboa nafaka ya mafuta(diesel). Ninahitaji kwa yeyote aliyeona fursa ya sehemu ambayo naweza kufunga mashine hii. Utakuwa vizuri kama itakuwa mkoa wa Pwani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunaishi na watu tunaamini katika watu, kila mtu amefika alipo kwasababu ya uwepo wa watu wengine. Humu kwenye jukwaa naamini kuna watu wengi sana wenye fikra, mawazo, upeo, elimu, busara, ujuzi...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Nchi jirani ya Uganda, moja ya nchi , zinazolima zao la ndizi kwa wingi kabisa duniani utengeneza fedha za kigeni takribani dola za kimarekani milioni 20 kwa mwaka kupitia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Serikali katika juhudi zake za kutengeneza mazingura ya kufikia uchumi wa kati ifikapo 2025 utakao endeshwa na mapanduzi ya viwanda yafutayo ni matunda to mention but few Kiwanda cha kusindika...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Habari wanajamvi, Husika na kichwa cha habari hapo juu, Nahitaji kufahamishwa ni njia gani ni sahihi zaidi kutangaza Brand yangu kati ya Radio Au Tv ili Brand yangu ili iweze kufahamika na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Bila shaka wajumbe wote mupo vizuri, Niwaombe wote tulio na taarifa mbalimbali juu ya taasisi sinazo jishughulisha na uwekezaji wa fedha taslim ili kupata faida baada ya muda maalum, Niombe...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naomba mwenye list ya 108 nuisance taxes zinazosemekana kuondolewa kwa kilimo atutundikie ukumbini. Thanks in advance.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Huu ni uchunguzi rasmi ambao nimeufanya, unakuta mtu amepata milioni mbili akaanzisha duka LA vyakula 'rejareja' baada ya miezi 4 duka halina kitu ilihali lilikuwa limejaa na miezi inayofuata...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wakuu nimekua nikifuatilia Mkopo ambao hausiani na Salaried worker ujitegemee kwa ajili ya Biashara sasa tatizo ni Kukaa Kwenye Kikundi Mimi Taangu nikiwa mdogo si mtu wa Makundi hata Kusoma...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Napenda kuipongeza kampuni ya SBL kwa kuanzisha serengeti light. Watanzania na wasio watanzania wamesubiri Sana kupata light beer yenye jina na asili ya kitanzania. Huo Ni ubunifu mzuri wa kibiashara.
0 Reactions
23 Replies
10K Views
Wakuu naomba kujua Bank au taasisi yeyote inayotoa mikopo yenye riba chini asilimia 20
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Hi, Mimi naitwa Dr. Said Said na ni mkurugenzi wa kampuni ya Online Profits, kampuni inayowasaidia wajasiriamali kama wewe kuweza kunasa wateja kama smaku kupitia mtandao. Kama unabiashara na...
4 Reactions
50 Replies
11K Views
Nahitaji mkopo sana lakini mabenki mengi hayatoi mikopo toka mwanzoni mwa mwaka jana kutokana na vugu vugu la wafanyakazi hewa pengine na uchumu kuwa na msukosuko. Je kwa wale wahusika waliopo...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu nimeamua kuanzisha huduma ya Taxi kwa bei itakayoendana na UBER kwa kuangalia makadirio ya bei wanayoyatoa! Mfano kama unatokea Magomeni Kagera kwenda Coco Beach, itakugharimu 12,000/- tuu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish This pair went upwards by 290 pips last week, putting greater emphasis on the recent bullish bias that has formed this...
0 Reactions
0 Replies
421 Views
Bila shaka wajumbe wote mupo vizuri, Niwaombe wote tulio na taarifa mbalimbali juu ya taasisi sinazo jishughulisha na uwekezaji wa fedha taslim ili kupata faida baada ya muda maalum, Niombe...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
A: VANILLA- THE PLANT Vanilla is a vine. It roots in the surface of the soil and climbs up a support. It is a perennial plant, which will grow for many years and can become very long. It is a cash...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…