Lawrence Mafuru ambaye ni Msimamizi wa Masuala ya Kisheria (Statutory Manager) wa FBME akiongea katika mahojiano maalum na Kwanza TV ameeleza kuwa kumekuwa na mabadiliko ya msingi katika mfumo wa...
Wadau,
Nina mashine ya kusaga na kukoboa nafaka ya mafuta(diesel). Ninahitaji kwa yeyote aliyeona fursa ya sehemu ambayo naweza kufunga mashine hii. Utakuwa vizuri kama itakuwa mkoa wa Pwani...
Tunaishi na watu tunaamini katika watu, kila mtu amefika alipo kwasababu ya uwepo wa watu wengine. Humu kwenye jukwaa naamini kuna watu wengi sana wenye fikra, mawazo, upeo, elimu, busara, ujuzi...
Nchi jirani ya Uganda, moja ya nchi , zinazolima zao la ndizi kwa wingi kabisa duniani utengeneza fedha za kigeni takribani dola za kimarekani milioni 20 kwa mwaka kupitia...
Serikali katika juhudi zake za kutengeneza mazingura ya kufikia uchumi wa kati ifikapo 2025 utakao endeshwa na mapanduzi ya viwanda yafutayo ni matunda to mention but few
Kiwanda cha kusindika...
Habari wanajamvi,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Nahitaji kufahamishwa ni njia gani ni sahihi zaidi kutangaza Brand yangu kati ya Radio Au Tv ili Brand yangu ili iweze kufahamika na...
Bila shaka wajumbe wote mupo vizuri,
Niwaombe wote tulio na taarifa mbalimbali juu ya taasisi sinazo jishughulisha na uwekezaji wa fedha taslim ili kupata faida baada ya muda maalum, Niombe...
Huu ni uchunguzi rasmi ambao nimeufanya, unakuta mtu amepata milioni mbili akaanzisha duka LA vyakula 'rejareja' baada ya miezi 4 duka halina kitu ilihali lilikuwa limejaa na miezi inayofuata...
Wakuu nimekua nikifuatilia Mkopo ambao hausiani na Salaried worker ujitegemee kwa ajili ya Biashara sasa tatizo ni Kukaa Kwenye Kikundi
Mimi Taangu nikiwa mdogo si mtu wa Makundi hata Kusoma...
Napenda kuipongeza kampuni ya SBL kwa kuanzisha serengeti light. Watanzania na wasio watanzania wamesubiri Sana kupata light beer yenye jina na asili ya kitanzania. Huo Ni ubunifu mzuri wa kibiashara.
Hi,
Mimi naitwa Dr. Said Said na ni mkurugenzi wa kampuni ya Online Profits, kampuni inayowasaidia wajasiriamali kama wewe kuweza kunasa wateja kama smaku kupitia mtandao.
Kama unabiashara na...
Nahitaji mkopo sana lakini mabenki mengi hayatoi mikopo toka mwanzoni mwa mwaka jana kutokana na vugu vugu la wafanyakazi hewa pengine na uchumu kuwa na msukosuko. Je kwa wale wahusika waliopo...
Wakuu nimeamua kuanzisha huduma ya Taxi kwa bei itakayoendana na UBER kwa kuangalia makadirio ya bei wanayoyatoa! Mfano kama unatokea Magomeni Kagera kwenda Coco Beach, itakugharimu 12,000/- tuu...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
This pair went upwards by 290 pips last week, putting greater emphasis on the recent bullish bias that has formed this...
Bila shaka wajumbe wote mupo vizuri,
Niwaombe wote tulio na taarifa mbalimbali juu ya taasisi sinazo jishughulisha na uwekezaji wa fedha taslim ili kupata faida baada ya muda maalum, Niombe...
A: VANILLA- THE PLANT
Vanilla is a vine. It roots in the surface of the soil and climbs up a support. It is a perennial plant, which will grow for many years and can become very long. It is a cash...