Mabadiliko ya kiuchumi yameathiri utoaji na ukusanyaji mikopo ya benki - Lawrence Mafuru

Kwanza TV

Member
May 2, 2017
33
69
Lawrence Mafuru ambaye ni Msimamizi wa Masuala ya Kisheria (Statutory Manager) wa FBME akiongea katika mahojiano maalum na Kwanza TV ameeleza kuwa kumekuwa na mabadiliko ya msingi katika mfumo wa kiuchumi ndani ya miaka miwili.

Mabadiliko haya ni pamoja na serikali kupunguza matumizi ikiwemo posho kwa wafanyakazi wake na matumizi ya kumbi za mikutano.

Mabadiliko haya ya kiuendeshaji yamepelekea mabadiliko katika mapato na matumizi ya wananchi na hivyo kuathiri utoaji na ukusanyaji wa mikopo.

Mahojiano haya yanatoa mwanga kuhusu sekta ya benki kwa ujumla.

 
Mabadiliko haya ni pamoja na serikali kupunguza matumizi ikiwemo posho kwa wafanyakazi wake na matumizi ya kumbi za mikutano.

Mabadiliko haya ya kiuendeshaji yamepelekea mabadiliko katika mapato na matumizi ya wananchi na hivyo kuathiri utoaji na ukusanyaji wa mikopo.





Hayo Mabadiliko ya Posho na Semina ndizo tulikuwa tunalilia kuwa Serikal Ina Matumizi yasiyo ya lazima sasa Jk alikuwa anapotezea kwa kujua Sie ni Wanafiki JPM kafanya kweli tunaanza kulia lia
 
Duh ukiunganisha akili zako na ukoo wako wote + bashite na yule makaptula hamumuwezi kwa uwezo Wa kiakili huyu mafuru
Labda wewe + Mama yako Mzazi+Baba yako+ Bibi yako aliyeoko Kaburini

Hakuna Level ya Elimu ambayo Mafuru Kasoma Mimi Sijasoma Vizuri zaidi Mimi ni Mtaalamu wa Masuala ya Uhasibu na Fedha na Cheti chetu cha juu katika hii kada ni CPA/ACCA. Ni kweli kawazidi Akili Nyinyi waalimu wa Kiswahili na Historia.

Mafuru huyu huyu ndo aliopeleka Coma/ICU NBC it never recovered hadi Leo huyu huyu Kafanya Madudu Kibao hazina pale.

Wewe unakuna unatetea Ujinga Eti ana akili! Labda za kuwazidi wewe, Mama yako, na Baba yako.

be using this alternative formula
CP14.png

Nakuja Sasa hivi
 
Labda wewe + Mama yako Mzazi+Baba yako+ Bibi yako aliyeoko Kaburini

Hakuna Level ya Elimu ambayo Mafuru Kasoma Mimi Sijasoma Vizuri zaidi Mimi ni Mtaalamu wa Masuala ya Uhasibu na Fedha na Cheti chetu cha juu katika hii kada ni CPA/ACCA. Ni kweli kawazidi Akili Nyinyi waalimu wa Kiswahili na Historia.

Mafuru huyu huyu ndo aliopeleka Coma/ICU NBC it never recovered hadi Leo huyu huyu Kafanya Madudu Kibao hazina pale.

Wewe unakuna unatetea Ujinga Eti ana akili! Labda za kuwazidi wewe, Mama yako, na Baba yako.

Sasa mbona wewe uko tofauti sana na Mafuru? Au wewe hukuelimika? Una vyeti halali lakini elimu feki?
 
FBME was already been placed under liquidation and its business licence revoked, sasa anasimamia sheria gani huko.
Don't tell lies! Did FBME go bankruptcy/insolvency? Ninavyojua

In finance and economics, liquidation is an event that usually occurs when a company is insolvent, meaning it cannot pay its obligations as and when they come due. The company's operations are brought to an end, and its assets are divvied up among creditors and shareholders, according to the priority of their claims.

-Creditors
-Taxes &Interest
-Preference shareholders
-Ordinary shareholders
 
Labda wewe + Mama yako Mzazi+Baba yako+ Bibi yako aliyeoko Kaburini

Hakuna Level ya Elimu ambayo Mafuru Kasoma Mimi Sijasoma Vizuri zaidi Mimi ni Mtaalamu wa Masuala ya Uhasibu na Fedha na Cheti chetu cha juu katika hii kada ni CPA/ACCA. Ni kweli kawazidi Akili Nyinyi waalimu wa Kiswahili na Historia.

Mafuru huyu huyu ndo aliopeleka Coma/ICU NBC it never recovered hadi Leo huyu huyu Kafanya Madudu Kibao hazina pale.

Wewe unakuna unatetea Ujinga Eti ana akili! Labda za kuwazidi wewe, Mama yako, na Baba yako.

kajiunge na taarabu tujue moja,usituletee mashudu yako humu,mbweha we!
 
Labda wewe + Mama yako Mzazi+Baba yako+ Bibi yako aliyeoko Kaburini

Hakuna Level ya Elimu ambayo Mafuru Kasoma Mimi Sijasoma Vizuri zaidi Mimi ni Mtaalamu wa Masuala ya Uhasibu na Fedha na Cheti chetu cha juu katika hii kada ni CPA/ACCA. Ni kweli kawazidi Akili Nyinyi waalimu wa Kiswahili na Historia.

Mafuru huyu huyu ndo aliopeleka Coma/ICU NBC it never recovered hadi Leo huyu huyu Kafanya Madudu Kibao hazina pale.

Wewe unakuna unatetea Ujinga Eti ana akili! Labda za kuwazidi wewe, Mama yako, na Baba yako.
Afu mjinga kama wewe unajitapa kuwa una elimu ya uhasibu kutwa upo ofisi za Lumumba unapiga zumari au tukuumbue humu..mkiwa nyuma ya keyboard mnajitapa kweli lakini siri ya alosto ya Lumumba unaijua mwenyewe..siku nyingine usimfananishe Mafuru na wajinga
 
Back
Top Bottom