Jambo wandugu, nina kampuni ya ujenza Class VII. Imesajiliwa na ina leseni zote lakini kwa bahati mbaya haipati kazi kwa sababu mbalimbali. Natafuta mtu ambaye ana uwezo wa kupata kazi lakini hana...
Wakuu salamu zangu kwenu:
Nimekuwa na wafanyakazi kadhaa katika biashara ambao kitu kikubwa cha kukosana nao ni kutokuwepo kwa uaminifu katika pesa,,si mimi tu ila watu wengi sana wamewafukuza...
Leo shemeji/wifi yenu kaenda tawi moja la NMB jijini kuuliza taratibu za kufungua akaunti kwa ajili ya watoto akaambiwa apeleke fomu toka serikali za mitaa zenye picha ya kila mtoto na mama...
Salamu zenu wakuu.
Mashamba ni mali inayopanda thamani siku zote,,hebu watu wa moro (mji kasoro bahari) tupeni information kuhusu bei ya ardhi huko,,ili wale wenye kitu kidogo watumie fursa hii...
The announcement by Comair Airways Ltd, a Jamesburg based carrier to the effect that it intends to start flying the Johannesburg-Dar Salaam route with effect from 2 November 2010 sounds like...
Hii inakuwaje jamani, sheria ya umiliki ardhi kama mashamba inasemaje kuhusu hili wadau?
Serikali wilayani hapa Mkoa wa Pwani, imesema baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, waliouziwa...
Published:
Monday, 16 Aug 2010 | 1:16 PM ET
By Fumbuka Ng'wanakilala
DAR ES SALAAM, Aug 16 (Reuters) - Tanzania's current account deficit widened
3.9 percent to $2.63 billion in...
Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali, kila mwaka amekuwa akiwasilisha kasoro kubwa za upotevu na matumizi ya hovyo ya mabilioni ya pesa za serikali, lakini hakuna hatua zozote madhubuti...
Habari wana janvi natafuta mtu anayeweza kuandika andiko zuri la Seed Production And Dissemination ninataka kulitumia kuombea fedha kwenye taasisi za fedha kwa ajili ya kuzalisha mbegu na kuuza...
Police smash £1.2million global iPhone scam with raids across Britain
Last updated at 1:58 PM on 18th August 2010
British police have shut down an international scam in which gang...
Nimepata ujumbe huu toka VODACOM; HABARI NDIO HII: Ongea kwa Tsh. 1 kwa sekunde kila siku masaa 24 asubuhi, mchana, jioni na usiku mzima.
This is a good move ushindani uendelee... Wateja...
Ningependa kujuakuna nini kimetokea Zain? toka jana mtandao umekuwa ni wa kusuasua, hakuna mawasiliano kabisa, hasa kanda ya ziwa. Nyie watu wa Zain kwani nini msiwaeleze wananchi kuna tatizo gani...
Nimeipenda sana hii website, can JF copy this, tayari JF ina traffic ya kutosha ikianzisha section ya namna hii inaweza kuwasaidia watu wengi sana na kuwatajirisha wahusika wote kwa kiasi cha...
Interview with .......
Barrick Gold Chief Executive Deo Mwanyika
About ten years since setting up camp in Tanzania, African Barrick Gold (ABG) foresees the possibility of staying longer...
Govt to retain up to 65% of oil revenues
By ThisDay Reporter
3rd August 2010
THE government has insisted that up to 65 percent of future oil revenues will...
THE outgoing management of the Tanzania Railway Limited (TRL) has been accused of duping the government and obtaining massive funds unjustly, the Controller and Audit General (CAG) special audit...
Nimejaribu kutembelea website hii, nimeogopa kuenelea kama hii hapa chini ni kweli....eti mtandao unaweza haribu computer yangu!!
Export Processing Zones (EPZ) of Tanzania |TANZANIA INVESTMENT...
Wadau natafuta taarifa za soko la kimataifa kwa mbegu za Alizeti (Sunflower seeds) ama kitaalamu Helianthus annuus naomba mwenye kujua haya atushirikishe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.