bensonlifua92
Member
- Dec 9, 2010
- 84
- 33
Ni kwa muda wa zaidi ya miaka mitano tunashuhudia Tanzania ya majiji na mijini kukumbwa na adha ya umeme. Hicho kinacho itwa umeme wa mgao kimekuwa ni adha kubwa mno kwa watu wengi isipokuwa kwa hao wanaokula nchi hii kwa raha zao.:frown:
Unarudi nyumbani labda tuseme jioni angalau ufurahi na watu wa nyumbani kwako, unakaribishwa na giza nene toka mlangoni hadi ndani. Ni jambo la kusikitisha pale ambapo waziri anatoa ahadi za kitoto kuwa umeme wa mgao Tanzania utakuwa ni historia halafu huoni jitihada za kweli katika hilo isipokuwa blablaaa Tu!!!.
Hivi thinkers tatizo ni maji/ukame/uchumi au ni uwezo wa mkuu wa kaya ya TZ (au basi na hao wengine) wa kujua nini kifanyike ili umeme uwepo muda wote????? Au ndo njia ya hao vigogo mafisadi kuendelea kufisadi watanzania kwa njia hii ya IPTL, Dowans, Richmond, n.k???
Nionavyo mimi Hii kitu umeme wa uhakika hautaweza kupatikana hadi pale watanzania tutakapoweka shinikizo la kuudai kwa nguvu. Pengine tuitishe maandamano kila mahali TZ nzima kwa siku kadhaa hadi kieleweke. Kama tunavyotaka kuweka shinikizo la kudai Katiba mpya na Tume huru basi yapo mambo mengi (umeme ukiwepo) ambayo hatuwezi kupata ila kwa shinikizo kubwa la NGUVU YA UMMA!!!!!
Asanteni thinkers
Benson
Unarudi nyumbani labda tuseme jioni angalau ufurahi na watu wa nyumbani kwako, unakaribishwa na giza nene toka mlangoni hadi ndani. Ni jambo la kusikitisha pale ambapo waziri anatoa ahadi za kitoto kuwa umeme wa mgao Tanzania utakuwa ni historia halafu huoni jitihada za kweli katika hilo isipokuwa blablaaa Tu!!!.
Hivi thinkers tatizo ni maji/ukame/uchumi au ni uwezo wa mkuu wa kaya ya TZ (au basi na hao wengine) wa kujua nini kifanyike ili umeme uwepo muda wote????? Au ndo njia ya hao vigogo mafisadi kuendelea kufisadi watanzania kwa njia hii ya IPTL, Dowans, Richmond, n.k???
Nionavyo mimi Hii kitu umeme wa uhakika hautaweza kupatikana hadi pale watanzania tutakapoweka shinikizo la kuudai kwa nguvu. Pengine tuitishe maandamano kila mahali TZ nzima kwa siku kadhaa hadi kieleweke. Kama tunavyotaka kuweka shinikizo la kudai Katiba mpya na Tume huru basi yapo mambo mengi (umeme ukiwepo) ambayo hatuwezi kupata ila kwa shinikizo kubwa la NGUVU YA UMMA!!!!!
Asanteni thinkers
Benson