Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 741
Hivi, Muarobaini wa tatizo la umeme, au nisema ugonjwa wa umeme Tanzania ni nini? ni solution gani ambayo sisi wana JF hapa tunaweza kuwashauri viongozi wetu ambao kila siku lazima waje humu JF kupakua mawaidha yenye akili...tuwaambie nini, wafanye nini ili kuondoa kabisa Tatizo la umeme Tanzania? hebu tu mention them hapa chini.