Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

by Natasha Redman 26th Dec 2010 The World Bank has started to prepare a new strategy to assist Tanzania in consultation with numerous other stakeholders. The World Bank has said in a recent...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Salam wanajamii wenzangu. Naamini humu hakuna wachoyo wa msaada wa mawazo. Ni kwa matarajio haya naomba kuuliza mimi nafanya kazi sekta binafsi kama mwajiriwa mwisho wa mwezi naweza ku save laki...
0 Reactions
49 Replies
9K Views
Ndugu wana JF. Kwa muda mrefu tumekua tukipiga makelele ya ufisadi bila kutoa muafaka au solution. Kutokana na uongozi wa nchi kuonekana kua umeshindwa kurudisha maliasili zilizoibiwa na mafisadi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Bank to launch mortgage financing this year-official Sunday, 02 January 2011 21:50 digg A housing project in Dar es Salaam. The KCB bank plans to start mortgage financing this year...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
By FINNIGAN WA SIMBEYE, 2nd January 2011 @ 12:00, THE future of foreign mining companies operating in Tanzania lies in partnership ventures with government through State Mining Corporation...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau maranyingi sana watu wengi tuna idea nzuri za kuanzisha biashara, na hata ukiangalia jukwaa hili utaona wengi wanauliza kushauriwa kuhusu kuanzisha biashara mbali mbali. Na ukiangalia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wandugu, Kwa anayeweza nielekeza naomba kufahamu wapi wanaziuza hizi machine. Natanguliza shukurani
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Vongozi Wote wa East Africa Ndio Tatizo na Vikwazo kwa Malengo ya East Africa Community. Demokrasia Ndani ya Tanzania, Kenya, Uganda, Burundi, na Rwanda Itatoa Direction na Mafanikio ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hali ya Uchumi Ndugu Wananchi; Tunaumaliza mwaka 2010 hali ya uchumi wa nchi ikiwa ni ya kuridhisha. Inaelekea athari za miaka mitatu iliyopita zilizosababishwa na misukosuko mbalimbali ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nini maana ya mtaji? Je, mtaji ndio kianzo pekee cha biashara? Je ni mitaji ya aina ngapi mtu anahitaji kuweza kufanikisha biashara?..... ni pesa peke yake? Naomba majibu wakubwa. Nahisi wengi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
THE Director General for the Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA), Mr Haruna Masebu has been voted as the best Chief Executive Officer (Boss of the Year) with an excellent...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Wananchi Tusome Hiii Sehemu ya Article Hapa Chini. Tutaona Migodi Mingapi Tunayo na Faida Haionekani. Kitu Kikubwa ni Kutafuta Hii Mikataba Ili Tuone Iliandikwa na Details Zipi? Ukweli ni Kwamba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
EWURA yasitisha bei ya maji kupanda Kahama Na Patrick Mabula, Kahama MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imesimamisha kusudio la Mamlaka ya Majisafi na Majitaka ya Wilaya ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
I came across the following article and wondered if Tanzanians can pick a leaf from it. The African Executive | Giving Uganda a 'Cutting Edge' in EAC
0 Reactions
6 Replies
1K Views
  • Closed
Hello Members! Naomba kama kuna anayejua kodi zote zinazolipiwa magari yanayokuwa imported. Nataka nijue ili niweze kuweka budget SAWA nisije kuagiza ka NISSAN MARCH alafu ushuru na kodi nyingine...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Hapa chini ni email kutoka kwa mtu mmoja anaejiita MWEKEZAJI!! Ajabu, with investment capital of up to USD 20,000,000/= bado hajajua wapi kwa ku-invest!!! He's ready for any viable business!!! Of...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Ndugu wana jf,nina mtungi wa gas wa oryx(6kg).huwa naujaza kwa Tsh 15000 .naomba kujua bei elekezi ya gas kwa kg 1.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, katika kusearch online business opportunity kama ilivyokuwa ktk global stocks market, future...etc nikafikiria vp kuna mtu yoyote anaweza akanipa inputs za online foreign...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mkullo ashtushwa wingi wa bidhaa zinazoingia nchini Monday, 13 December 2010 21:07 Daniel Mjema, Holili MAMLAKA YA Mapato Tanzania (TRA), imepewa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanajamii, ninaomba msaada wa kueleweshwa kuhusu kodi iitwayo "Withholding" (Withholding Tax) kwenye nyumba za kupanga.Nimempangisha mtu kwenye nyumba yangu iliyopo Magomeni jijini Dar es Salaam -...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom