Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

1) Real Estate Agency 2) Business Proposal Writing Tutafute.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwenyekiti Halmashauri ahamasisha maandamano Imeandikwa na David Azaria, Geita; Tarehe: 18th April 2011 @ 23:40 Imesomwa na watu: 88; Jumla ya maoni: 0...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Serikali ya Kenya imeweza kujaribu kuwaondolea wananchi wake ugumu wa maisha kwa kupunguza bei katika mafuta. Kuanzia Kesho bei mpya itatangazwa baada ya kushusha asilimia 30 kwenye mafuta ya taa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Russell Southwood London — Intermedia has released the latest in its Audiencescapes series of surveys of media use in African countries. The survey covers Tanzania and contains a number of...
0 Reactions
0 Replies
941 Views
THE Bank of Tanzania (BoT) has said that the current depreciation of the shilling is a result of a strong US dollar at international level. However, the central bank says that it has no plans at...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
How to manage My monthly salary? For example, If my salary is Tsh 250,000/= How should I save? am asking for help cos i thnk am spending alot that i earn.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani mengi yamesemwa kuhusu ripoti ya CAG nikipiga hesabu za harakaharaka naona kiasi cha trillioni moja na ushee hivi zilikombwa na wajanja kwenye halmashauri, mawizara, idara na makampuni ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
The writing has been on the wall for a long time. On Friday March 25th, 2011 the Government of Tanzania (GoT) finally come out with an hard-hitting but somehow confusing statement to the effect...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani kuna hii k2 nimetambulishwa je kuna yyto anayejua zaidi The Mega Wealth Club...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Pinda: No clues when will power cut end By Florian Kaijage 17th April 2011 Prime Minister Mizengo Pinda As the country approaches the fifth month since the commencement of countrywide...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mamlaka ya maji na kampuni ya simu TZ ni Taasisi ambazo zimekuwa zikipata hasara kubwa kila mwaka je mchawi wa tatizo hilo ni nani? Kwa mtazamo wangu mimi ni wao wenyewe,tukianza idara ya maji...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nilikuwa nasikiliza juzi mjadala wa uchumi kwenye Radio Free Africa kuhusiana na sababu za mfumuko wa bei. Wakasema , mojawapo ya sababu za mfumuko wa bei ni kupanda kwa ajira ambapo kunasababisha...
0 Reactions
103 Replies
9K Views
MICHUZI: UCHAKACHUAJI WAFANYIKA KWA MATREKTA MADOGO WILAYA YA KILOSA Hii nimetoa kwa Michuzi. Kwa kifupi ni kuwa Halmashauri ya Wilaya Kilosa imepoteza mamilioni ya fedha katika kununua...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Watu wamekuwa wakijiuliza ni benki gani yenye huduma mbovu zaidi?. Hii ni kwa vile wamechoshwa na foleni na usumbufu usio wa lazima wakati mwengine katika mabenki. Nionavyo mimi wenye kuleta...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Wakuu hivi nani anajua bei ya Urea 46 (Carbamide) upatikanaje wake na bei zake kwa tani?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau leo nimesoma tangazo la TCRA likialika maoni yeyote kutoka kwa wananchi kuhusu kuipa kampuni mpya ya simu Tanzania, inaitwa 4G, leseni ya kuendesha biashara hio hapa Tanzania.\ Majority...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
WAUNGWANA FEDHA ZOTE HIZI HAPA CHINI ZIMEENDA WAPI, HAZINA WANASEMA HAKUNA PESA, WAKANDARASI WANAIDAI SERIKALI, MISHAHARA TANGU 2011 UANZE TABU, JE PROF NDULLU HAKUSEMA KWELI? BENKI Kuu ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nilienda duka moja hapa DSM (jina nalihifadhi). Nikachagua nilivyotaka, nikauliza bei. Nikaambiwa bei inategemea kama nataka risiti ya TRA au risiti "ya kawaida". Nikauliza tofauti ya bei ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
"The causes of wealth are different from wealth". Therefore does the power of producing is more imporant than wealth itself?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
...Nimekuwa napata tabu na hii benki inayofanya vizuri kwasasa kwenye Banking Industry.Kuna kero juu ya Staff wake hasa wa kike,mfano wewe ni mteja na upo dirishani kwa Teller unakuta vinanyanyua...
1 Reactions
48 Replies
8K Views
Back
Top Bottom