Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,717
Wadau leo nimesoma tangazo la TCRA likialika maoni yeyote kutoka kwa wananchi kuhusu kuipa kampuni mpya ya simu Tanzania, inaitwa 4G, leseni ya kuendesha biashara hio hapa Tanzania.\
Majority shares za kampuni hio, about 57%, ni za Nazir Karamagi.
Sasa nauliza wadau, kuna sheria yeyote inayoweza mzuia huyu jamaa FISADI kupewa leseni ya kutunyonya tena!! Au kwasbabu hajapelekwa mahakamani,
Hii kampuni ilishakuja awali kabla ya uchaguzi,ikazimwa. Jina nimesahau ila tulishajadili humu mjengoni.
Pamoja na karamgi kuacha siasa nafikiri si sawa kupewa go ahead ya leseni hio kwasbabu his ethics are in question.
Majority shares za kampuni hio, about 57%, ni za Nazir Karamagi.
Sasa nauliza wadau, kuna sheria yeyote inayoweza mzuia huyu jamaa FISADI kupewa leseni ya kutunyonya tena!! Au kwasbabu hajapelekwa mahakamani,
Hii kampuni ilishakuja awali kabla ya uchaguzi,ikazimwa. Jina nimesahau ila tulishajadili humu mjengoni.
Pamoja na karamgi kuacha siasa nafikiri si sawa kupewa go ahead ya leseni hio kwasbabu his ethics are in question.