Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Kuna taarifa kutoka katika chanzo cha uhakika kwamba kampuni la Alpha ambazo zinamilikiwa na familia ya Edward Lowassa ambazo zinatengeneza mabilioni ya shilingi katika mitandao yake ya...
1 Reactions
61 Replies
7K Views
Duh sisi wateja wa star times kwa kweli hatutendewi haki maana tunalipia elf tisa kwa mwezi ili tuone nn yaani kila channel ambayo ni ya muhimu inaandika non conax programme!ss nashanga hata...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Kila kukicha vikundi vya kukodi kwenda kuomboleza misibani vimekuwa vikiongezeka kwa kasi jijini Dar es Salaam. Je huu ni ubunifu wa ajira au ni ufinyu wa fikra?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa IMF miaka mitano kutoka sasa uchumi wa China utaupita ule wa USA na hiyo itakuwa ni mara ya kwanza tangu mwaka 1890 pale uchumi wa USA ulipoupita ule wa UK. Je hiyo itakuwa ndiyo...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina biashara ya Grocery store na Internet cafe.Je nitatumiaje biashara hizi ili kupata mkopo kama Bank na taasisi zingine za kibenki.NATANGULIZA SHUKURANI.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa mahitaji ya kutengenezewa Magazine, logos, brochures,matangazo kwa bei nafuu wasiliana nami kupitia email: ckundawa@gmail.com or cell 0718656164
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu Naomba msaada wa kupata web designer mwenye kujua naomba anijulishe asanten
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni lini fedha mpya zitaanza kutumika rasmi.nikienda bank bado napata fedha za zamani!tatizo nini?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Any one with idea where i can get usb cable and charger for digital camera samsung es70 pliz inform me simply nimezunguka maduka kibao kariakoo and posta without mafanikio.. dau nono kwa yeyote...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Rais mkapa alifanya biashara akiwa ikulu ingawa alikatazwa na baba wa taifa mwalimu nyerere, akauza nyumba za serikali kwa wahindi kwa bei poa huku akiweka 10% mifukoni, ameuza mashirika ya umma...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
...Pasaka ya kichovu zaidi Wakuu. Nimeshakula pasaka zaidi ya 36, lakini hii ya mwaka huu naona ndio ya KICHOVU ZAIDI kuliko zote katika kumbukumbu zangu za hivi karibuni...:angry: Easter with...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ningependa kujua makampuni yanayotoa investment advice na services Tanzania, Kenya na Uganda. Contacts zao pia zingekuwa greatly appreciated hasa website zao. Shukran
0 Reactions
7 Replies
2K Views
YECCO (T) LIMITED was registered and incorporated under the Companies Act No. 12 of 2002 Cap 212 of the United Republic of Tanzania and holds a Certificate of Incorporation No.72307...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Subramaniam aendelea na Kazi pamoja na kuwa na expired work Permit Naona mchezo mchafu unafanywa kuhusu suala la uhalali wa aliyekuwa Meneja Mkuu wa Fedha wa kampuni ya IPTL, Dk. Magesvaran...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna mtu anauza nyumba M/Nyamala karibu na hospitali mimi nauliza, hivi nyumba eneo lile zinafika milioni 250? Ni sawa au ndogo au kubwa? iko barabarani nyumba na kuna duka... Btw...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wakuu, Naomba kujulishwa vitu vya kuzingatia unapopanga bei ya kuuza nyumba ya kuishi. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Natafuta patna kwenye biashara ya uvuvi ninayo leseni ya kuniruhusu kuvua kwenye pwani ya Tanzania. au kama kuna mtu anayo data base ya makampuni ya nje yenye nia na shughuli hii pevu ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Inasemekana Manji ana jeshi la watu kama 70 hivi wote kazi yao ni moja tuu kubid tenda zote za serikali ya TZ kwa kutumia shell companies sasa nauliza mtu unainawezaje kuingia kwenye hiii...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mashara wangu unakatwa 30% PAYE. kile kidogo kinachobaki, kwa kila elfu mbili ninayolipa kununua lita moja ya petroli serikali inachukua sh. 600, Kumbuka hii ni baada ya kunikata 30% kwenye...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom