dropingcoco
Senior Member
- Jun 21, 2008
- 124
- 11
Serikali ya Kenya imeweza kujaribu kuwaondolea wananchi wake ugumu wa maisha kwa kupunguza bei katika mafuta. Kuanzia Kesho bei mpya itatangazwa baada ya kushusha asilimia 30 kwenye mafuta ya taa na asilimia 20 kwenye diesel.
Namshangaa sana rais wetu pale anapong'ang'ania bei za bidhaa (sukari n.k) zishuke huku akiangalia mfumuko wa bei kwenye mafuta unavyopanda kwa kasi.Kweli Tanzania tutazidi kuwa kituko mpaka siku ya mwisho
Namshangaa sana rais wetu pale anapong'ang'ania bei za bidhaa (sukari n.k) zishuke huku akiangalia mfumuko wa bei kwenye mafuta unavyopanda kwa kasi.Kweli Tanzania tutazidi kuwa kituko mpaka siku ya mwisho