Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
231
Posts
7.2K
Threads
231
Posts
7.2K

JF Prefixes:

  • Redirect
Wakuu, Unaweza kuni PM Namba yako ya Simu ili uwe added kwenye WhatsApp Group ya wadau wanaojihusisha na wenye interest ya Ufugaji wa Nyuki na Biashara ya Asali Kiujumla.. Utapata fursa ya kipekee...
1 Reactions
Replies
Views
Poleni na majukumu wadau naimani kwenye wengi hapalibiki jambo naomba kuuliza hivi kuanzisha radio ambayo itakuwa inadikika kilometa 100 kutoka mashariki magharibi, kusini na kaskazini...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nina ndugu ndio amewasili hivi jijini Dar hapa na yupo yupo tu. Sasa sipendi tu awepo awepo hapa nyumbani, nimeona nimtafutie kitu cha kufanya chenye manufaa nae. Hivyo nimeona...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
We have a ground floor opportunity for you to collect free real stock shares of We Share Success Inc., a global company co-founded by thousands of Perfect Internet Members scattered worldwide...
0 Reactions
1 Replies
754 Views
Hizi bei bado zinafaa ziwe chini zaidi. ================ Relief for motorists as fuel prices drop to four-year low Motorists hoping for relief at the petrol pump have reason to smile after...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Redirect
Mimi ni kijana ambaye nina uchu na biashara, sema wazo la kufanya biashara gan ndo ishu. Nlikua naomba kujuzwa ni biashara gan naweza fanya ambayo mtaji hautazidi 3m.:lock1:
0 Reactions
Replies
Views
Habari za leo msomaji wa AMKA MTANZANIA, karibu tena kwenye kipengele hiki cha ushauri wa changamoto zinatotuzuia kufikia mafanikio kwa kile ambacho tunafanya. Ni kweli kwamba njia ya kufikia...
6 Reactions
16 Replies
5K Views
Wakuu naomba kujua haya ni aina gani ya madini (jina lake) na pia yanauzwa bei gani kwa gram?
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Africa's energy industry could boom in the coming years, with Mozambique and Tanzania set to emerge as new frontiers if they can attract enough badly needed investment, a report said recently. Six...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu. Sisi ni vijana watatu ambao tumeamua kuja na wazo la kujiajiri ambapo mradi ambao tunaufanya ni kununua nyama machinjioni na kuja kuuza sokoni. Biashara hii itakuwa nzuri endapo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanaJf wa jukwaa hili. Napenda gharama za kuchapisha kitabu. Pia atakayependa tushirikiane aniPM.
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Hodi humu ndani jamani.! Anguko la bei ya Mafita Duniani linategemewa kuendelea kuporomoka hata ndani ya mwaka 2015. Kutokana na anguko/poromoko la bei ya Mafuta Duniani.. Inasemekana kwamba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mambo 30 ya kusema Hapana mwaka huu 2015 Mwaka huu 2015 ni mwaka wa kusema hapana kwa VITU VIZURI ili uweze kupata VITU BORA. Kila mmoja wetu anapenda kupata kilicho bora lakini ni wachache sana...
3 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwa yeyote ambae yuko tayari kunikopesha milioni 2 kwa masharti yasiyo magumu tuwasiliane kwa namba 0782105526 na kabla hajatoa tukubariane jinsi ya kurejesha na kiwango cha riba. Kabla hajatoa...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Tazara halts its services indefinitelySHARE BOOKMARKPRINTEMAILRATING By Veneranda Sumila,The Citizen Reporter Posted Wednesday, January 14 2015 at 09:54 IN SUMMARY The Tanzania Zambia...
0 Reactions
0 Replies
857 Views
Napenda kutoa salaam zangu za dhati kwa wanajamii forums wote. Pili naomba msaada wenu wa mawazo nahitaji kununua gari lakini hadi sasa hivi sijapata ufafanuzi wa kina kuhusu hili gari ninalotaka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Eneo lisilopungua ekari 30 liko wazi Kwimba Mwanza kata ya Ng'hundi kwa yeyote anayetaka kuwekeza kwenye elimu au Afya.Piga 0785009840
0 Reactions
3 Replies
1K Views
I am proudly announcing that, our global company is opening its netx international location in Dar!. This is the perfect moment for you to make timing riding a wave. Send a PM now for more
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mr Jonathan Ciano, the Uchumi Supermarkets chief executive officer Uchumi supermarkets is set to open a new outlet in Moshi, Tanzania, in its first major investment after...
0 Reactions
0 Replies
858 Views
natafuta mtu wa kufanya nae biashara nchini mozambique,nina idea ya biashara ila tatizo ni mtaji,nina idea ya biashara kwa bidhaa zifuatazo,nguo za kiume na za kike pamoja na za watoto,viatu vya...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom