Hodi humu ndani jamani.!
Anguko la bei ya Mafita Duniani linategemewa kuendelea kuporomoka hata ndani ya mwaka 2015.
Kutokana na anguko/poromoko la bei ya Mafuta Duniani.. Inasemekana kwamba...
Mambo 30 ya kusema Hapana mwaka huu 2015
Mwaka huu 2015 ni mwaka wa kusema hapana kwa VITU VIZURI ili uweze kupata VITU BORA. Kila mmoja wetu anapenda kupata kilicho bora lakini ni wachache sana...
Kwa yeyote ambae yuko tayari kunikopesha milioni 2 kwa masharti yasiyo magumu tuwasiliane kwa namba 0782105526 na kabla hajatoa tukubariane jinsi ya kurejesha na kiwango cha riba.
Kabla hajatoa...
Tazara halts its services indefinitelySHARE BOOKMARKPRINTEMAILRATING
By Veneranda Sumila,The Citizen Reporter
Posted Wednesday, January 14 2015 at 09:54
IN SUMMARY
The Tanzania Zambia...
Napenda kutoa salaam zangu za dhati kwa wanajamii forums wote. Pili naomba msaada wenu wa mawazo nahitaji kununua gari lakini hadi sasa hivi sijapata ufafanuzi wa kina kuhusu hili gari ninalotaka...
I am proudly announcing that, our global company is opening its netx international location in Dar!. This is the perfect moment for you to make timing riding a wave.
Send a PM now for more
Mr Jonathan Ciano, the Uchumi Supermarkets chief executive officer
Uchumi supermarkets is set to open a new outlet in Moshi, Tanzania, in its first major investment after...
natafuta mtu wa kufanya nae biashara nchini mozambique,nina idea ya biashara ila tatizo ni mtaji,nina idea ya biashara kwa bidhaa zifuatazo,nguo za kiume na za kike pamoja na za watoto,viatu vya...
wapendwa natafuta mkopo wa sh laki mbili haraka unahitajika kesho .. niko tayari kulipa kwa riba au yeyote anaefaham sehemu wanayotolea mikopo .. nitalipa mwisho mwezi huu
Coca-Cola takes marketing to new level with common names
SHARE BOOKMARKPRINTRATING
Bottles of Coca-Cola bearing local names: Coke has, once again, proved that their marketing teams are doing...
Nilidhani mtoto ameanza dalili nzuri za kuanza tembea!
==============
ATCL about to lose city centre building thanks to Sh2bn debt
A man walks past the Air Tanzania Company Ltd (ATCL)...
Ndugu wanajf,nilikuwa natafuta mtu mwenye masoko ya kaa nje ya nchi kama asia,ulaya na usa.nina mtaji wa kununua tani moja na kusafirisha,alafu faida itakayopatikana tunagawana .wasalaam
Hello!? Mimi ni mkazi wa malimbe mwanza, nina mtaji wa TZS 1,000,000/- kwa ajili ya kufungua duka la ushonaji nguo hapa Malimbe. Naomba ushauri, Je, inatosha hiyo pesa ama niendelee kuiongeza...
MLM is a profession. For that being the case, it needs deeper understanding on how to build your organisation and have an access to financial success.
There are different parameters to look...
Samahani ndugu. Mimi mwenzenu Nina ujenzi wa nyumba ya kuishi.nikiwa katika harakati za finishing napata ushauri kwa rafiki yangu kuwa alishawahi kuona nyumba furani dar es salaam. Sitting room...
Wadau nimeeona majarida kadhaa yahusuyo matangazo ya biashara kwa dsm! Nimevutiwa sana na hii biashara ila changamoto imekuwa jinsi ya kuanza!!
Kwa mwenye ufahamu, je kampuni ya printing...
Ndugu wanajamiiforums!
Kama mtu anataka serikali impe ardhi kwa kipindi cha miaka 99 afanyeje? Ardhi yenyewe ni kwa ajili ya kilimo na mifugo.
Kuna watanzania wana elimu ya kilimo na mifugo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.