Mapepo ya JF

Mapepo ya JF

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
365,938
Reaction score
845,907
Pepo la umbea/udaku (mafaili buku)
Pepo la kukataa ndoa
Pepo la kujichua
Pepo la uchawa
Pepo la upigaji
Pepo la uzushi
Pepo la ushoga
Ongezea yaliyosahaulika
NB: pepo la ushirikina, uchawi na ulozi limedhoofika sana baada ya wadau wake kutubu na kuokoka
 
Mapepo ya kuanzisha uzi wa mapepo kwa mapepo. Mapepo ya kuvuma kusini kwenda kaskazini, ila kuna pepo moja jf ambalo linashinda yote nalo ni pepo la uongo. Wana jf n waongo wakutupwa yaan kabsa mtu anakwambia anatembelea v8 na huku kila cku mnabanana kwenye daladala mara anaishi kwa mansion kubwa lina kila kitu ndan na huku ni mtu wa gongo la mboto
 
Mapepo ya kuanzisha uzi wa mapepo kwa mapepo. Mapepo ya kuvuma kusini kwenda kaskazini, ila kuna pepo moja jf ambalo linashinda yote nalo ni pepo la uongo. Wana jf n waongo wakutupwa yaan kabsa mtu anakwambia anatembelea v8 na huku kila cku mnabanana kwenye daladala mara anaishi kwa mansion kubwa lina kila kitu ndan na huku ni mtu wa gongo la mboto
Pepo la vitasa
 
pepo la vizinga, pepo la matusi, pepo la fake id's, (hili hata mimi ninalo) pepo la fake genders yaan mtu ananuka harufu ya mbuz anakuja jf kuwa n ke. God have mercy upon us. Karibu konyagi bro Mshana Jr
😀😀😀nipe location fasta .. Mtori, supu nyqgi ikifika saa sita tumeshatoa lock mbaya tunasaka mdudu😂
 
Uzuri kila mtu ana pepo lake na mwenye pepo hajijui kuwa ana pepo. Sasa basi unaonaje baba mshana ungetulia kwanza ili pepo langu la nyege mshindo liniendeshe endeshe niwagegede kidogo wake za watu?
Una pepo (kapepo)la usahaulifu.Umetueleza "na mwenye pepo hajijui" lakini wewe umejijua unalo la nyegez mshindo.Pepooooz!
 
Uzuri kila mtu ana pepo lake na mwenye pepo hajijui kuwa ana pepo. Sasa basi unaonaje baba mshana ungetulia kwanza ili pepo langu la nyege mshindo liniendeshe endeshe niwagegede kidogo wake za watu?
Hilo halina tiba ni pepo la ujana ni pepo la kiumeni.. Lina baraka zake🤣🙌🏿
Babu yetu mshua wetu mfalme Suleiman alikuwa na wake halali wa ndoa 700 lakini bado akawa na michepuko 300 na bado akamgonga mke wa mjakazi wake!😂
 
Pepo la ubishi na kuchezea watu akili huku unachekwa.Natafuta mganga nguli.
downloadfile.jpg
 
Back
Top Bottom