Ooh,nimeelewa mkuuMeimosi chitchat hii😀View attachment 3582448
Mzee anasuka ugomvi tu hapa.
Siku hizi Mchonganishi huyu Mzee.View attachment 3582461
Mzee wa Mitanange.
Kiranga chao kimenishinda.. Mimi ni wa kulala siku 2 hoi Mimi 🙌🏿🙌🏿 kweli mganga alipatikana😎😀Vipi Wazee tunaruhusiwa kujibebea wa mwaka 2000
Au tukienda safari ya sekunde 29 tutakuja kutangazwa humu kwamba tumepewa kazi lakini tumeishia kuwachafua tu 🤭
Koh koh koh 🏃🏃🏃
Itakuwa ulipewa mechi waki-assume ni Kijana mwenzao, kumbe ni Mzee wa mwaka 47 🤗Kiranga chao kimenishinda.. Mimi ni wa kulala siku 2 hoi Mimi 🙌🏿🙌🏿 kweli mganga alipatikana😎😀
Pole 😢Kiranga chao kimenishinda.. Mimi ni wa kulala siku 2 hoi Mimi 🙌🏿🙌🏿 kweli mganga alipatikana😎😀