Huwa nashangaa sana ila kila mdada mwenye makebo makubwa lazima awe na besti yake huyo mwembamba ambae ni kama waziri wake wa ulinzi na mawasiliano

Huwa nashangaa sana ila kila mdada mwenye makebo makubwa lazima awe na besti yake huyo mwembamba ambae ni kama waziri wake wa ulinzi na mawasiliano

Stability

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2020
Posts
756
Reaction score
2,673
213dd25bdaa408251f61d21ad8b9401a (2).jpg


Ukimuita tu dada mwenye makebo makubwa uanshangaa yeye lazima aje wa kwanza utafikir umemuita yeye, kila sehemu unakuta anamshika mkkono ila tu auze nae sura na kumpa ushauri wa kila mwanaume anaemtaka. Looh!

Yeye ndio haji manara wake, yanj muda mwingine unajikuta unakosa fursa ya kutafuna jagina hivi hivi kisa tu flat screen mmoja, arrrrgh!
 
Back
Top Bottom