Hello friends we can now have friends without them knowing us or even without us knowing them,we can share our interests and so many things so let us enjoy it.......what you have to do is to...
Mimi na mmoja ya wasomaji wazuri wa safuhii ya mahusiano, mapenzi na urafiki. Ila nimekuwa na wakati mgumu kuelewa virefu vya vifupissho hivi MMU na PM. naomba mnijuze maana zake. I beg to submit.
Jamaa zangu Chinga wanajua sana kwenda na wakati na matukio hasa wakati wa kuwapa majina watoto wao. Hii nilithibitisha pale Maandazi road nilipomsikia baba Ochama akiimuuliza nkewe mama Ochama...
kuna jamaa mmoja alibahatika kwenda kusoma majuu kwa miaka miwili.
aliporudi tz, basi mwendo wake ukawa wa kudunda dunda na kuinamia upande
mmoja (kushoto) basi cku moja baba yake akamuuliza, kwa...
Katika maongezi, mvuta bangi alimuuliza mlevi.....
Mvuta bangi: Ati India iko mbali?"
Mlevi: sidhani, kwasababu tuko na mhindi mmoja kazini, huwa anakuja kwa baiskeli kila siku.
Kile kirusi maarufu "TAMBWE HIZA" ambacho ni maarufu kukamatika by any ANTIVIRUS lakini kigumu kudilitika hivi karibuni KILIKWISHNE mara baada ya kukutana na ANTIVIRUS ya ukweli.Mara baada ya...
Mtaliano mmoja kicheche na jeuri allikuwa akimzinia na kumtamkia maneno ya jeuri mkewake bila aibu wala kificho. Siku moja akiwa anamsindikiza kuja Safari ya mwezi mzima Tanzania, wakiwa uwanja wa...
WanaJF Habari za asubuhi hii, Katika Pitia pitia katika vipindi vya TV nimekutana na maneno ambayo ni mara yangu ya kwanza kuyasikia, kimsingi nimeona niwashirikishe ili wanajamvi wenzangu...
Habari wana JF
Huwa ninapata shida moja kuhusiana na wanoweka tinted kwenye madirisha ya magari yao hivi huwa hawataki watu wawajue au wanaficha nini.
Nisaidieni nini faida na hasara za hizi...
Wasikilizaji C C M wamekosa bao la wazi kabisa.
Alikuwa winga machachari Nap, alivuta akawalamba chenga mabeki wote wawili kwa mpigo akamuunganishia pande captain J ambaye badala ya kuusukuma...
Mtoto na kaka yake walikwenda kuiba nyanya na mananasi.
Wakati wanarejea, dogo alitangulia mbele masafa kidogo kwa sababu mzigo wake ulikuwa mwepesi. Kabla hakufika mbali akakutana na mwenye...
hawa magiant wa matangazo katika media mbalimbali mbona hatuoni mkibisha hodi hapa? kuna ki space kinahang hapo juu muda mrefu...Airtel naona wapo constant..we need yr support while advertising yr...
HAYA KAZI KWAKO
Chodo walked into class every morning with a black eye. After a while his teacher got worried and asked him about it. Chodo's answer was: "Our house is very small miss. Me...
Nina wasiwasi chinga wanaweza kuwa wana asili ya uingereza. Angalia majina yao
Waingereza:
Sir Goatly
Mr Brown
Mr Southgate
Captain White
..........
........
Chinga:
Nchumali
Chipoku
Bakuli...
Orijino komedi na siku ya kunawa mikono duniani
http://youtu.be/GmUC3eZFarE
http://youtu.be/3vfvgncuONc
Orijino komedi na matatizo ya umeme Bongoland
http://youtu.be/wO3EjrbbvFU
What happens when a fly falls into a coffee cup?
The Italian - throws the cup and walks away in a fit of rage.
The Frenchman - takes out the fly, and drinks the coffee.
The Chinese - eats the...