Mnashangaa nini?

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
Mnashangaa nini,kwa taarifa yako,'anayevaa khanga ya mama yako asubuhi muda wa kwenda kuoga ndo baba yako huyo,mkubali baba wa ukweli,mkubali YANGA!
 
Utakuwa umekalia kichwa wewe si bure, sasa khanga na ushindi wapi na wapi?
 
heri mimi sijasema manake hawa jamaa wana hasira huwa hawapendi kabisa kuambiwa ukweli. Mara ohhh mmebebwa na refa, mara ohh mliwahonga toto.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom