Du Kiswahili nachoooooo!!!!

Du Kiswahili nachoooooo!!!!

Twilumba

Platinum Member
Joined
Dec 5, 2010
Posts
13,577
Reaction score
16,440
WanaJF Habari za asubuhi hii, Katika Pitia pitia katika vipindi vya TV nimekutana na maneno ambayo ni mara yangu ya kwanza kuyasikia, kimsingi nimeona niwashirikishe ili wanajamvi wenzangu mkikutana nayo yasiwe mageni kwenu

Maneno hayo ni;

Fola
- lenye maana sawa na hongera lakini tofauti na hongera za kawaida hili hutolewa kwa mama aliyepata Kujifungua Mtoto, kwa hiyo watu wanapokutana/ kwenda kwa ajili ya kumpongeza hutimia neno Fola.

Kivukomilia-ni neno lenye maana ya sehemu ya barabra iliyochorwa mistari mweupe kwa ajili ya kuvuka kwa miguu, maarufu kama Pundamilia

Jibodoa- Ni sifa anazojimwagia/Jinadi mtu/kitu kutokana na umahiri wake, jinaki ni neno linalofanana na jibodoa.
 
Baba ubaya bana unaniangusha sana peleka jukwaa la lugha.................
 
Back
Top Bottom