Jamaa mmoja alikwenda oa Tanga, alipokuja nae mke Dar siku ya 7 akamwambia mkewe asubuhi kuwa usiku watakula nje. mume kurudi jioni akamkuta mkewe ameshatoa meza na viti nje ya nyumba anamsubiri...
Mvuta bangi mmoja alifanya ajali akaua watu 25, Kufika polisi Traffic akamuuliza ilikuaje? jamaa akasema alikuwa spidi nyingi tu ghafla akaona kundi la watu kushoto na mtu mmoja kulia na yeye hana...
kuna siku bwana wasanii kibao walikuwa wanafanya shoo pande za mafinga pale shimoni club!!!!kwa kawaida kabla ya kufanya show wasanii huanza kwa kujitambulisha msanii wa kwanza kujitambulisha...
Mwanafunzi mmoj wa shule ya kata alifanya jaribio la hesabu, swali la kwanza lilimchukua muda wote wa jaribio. Alitakiwa aandike 11, akaanza kuandika 1 kisha akawa anajiuliza moja nyingine...
Siku kadhaa zilizopita, tuliwaonya kwamba Kijana February Maropes, ni hatari kwa usalama wa Tanzania, lakini kwa bahati mbaya, kila tunapoanzisha thread za kumuweka wazi (uhaini wa kijana February...
kuna uwezekano wa rais wetu mpendwa kikwete kuingizwa kwenye kitabu cha worl book of record yaani guiness au kwenye jarida la belive or not, kutokana na safari zake za nje ya nchi. Amempiku mobutu...
uys, there is your chance to solve unsolvable enigma called women. I am already using this user manual for MADEMU ;)
1. Contempt:
lifted brows, upper lip lifted. How to cause this: its enough...
Teacher: Johny, Use the word "harassment" in a sentence...
Johny: When I was in school I was in luv with my class teacher and HER-ASS-MEANT A LOT TO ME!!
Mm ni mwanafunz wa kidato cha tano katika shule maarufu sana hapa nchini, Jana usiku nimekutwa na kasheshe baada ya kukutwa na teacher nikiwa na simu alafu shule yenyewe hairuhusu mwanafunzi...
The CIA had a opening for an assassin. After
all the background checks, interviews and
testing were done there were three finalists:
two men and a woman. For the final test,
the CIA agents...
For a computer programming class, I sat directly across from someone, and our computers were facing away from each other. A few minutes into the class, she got up to leave the room. I reached...
Can you cry under water?
How important does a person have to be before they are considered assassinated instead of just murdered?
If money doesn't grow on trees then why do banks have...
Just thinking aloud!
What is behind our avatars?
Why did you choose your avatar?
What does it portray?
What is your relationship with your avatar?
For example, I am okada, because I am a great...
Stevie Wonder is playing a gig in Nairobi.
He's just finished playing his Seventies
classic Sir Duke. The crowd is still going wild
when a young Kikuyu man at the front says,
"Stevie Wonder...
Wabondei 2 walipanga kwenda kuiba duka la dhahabu, usiku ulipoingia wakaenda na kuiba dhahabu zote, cha kushangaza asubuhi polisi walipokuja walimkuta mmoja pale dukani , walipomuuliza akawaambia...
Hebu ona huyu mama alivyoliwa na houseboy kizembe!!!!
The husband and his wife were not on good terms. In fact, the wife was convinced that he was carrying on with the pretty housemaid, so she...
Wana Jf,
Mimi binafsi nakula mara mbili kwa siku asubuhi nakunywa uji wa Ulezi na Viazi au Mihogo, usiku napenda sana Ugali wa Muhogo na Samaki Kolekole, na chakula nachokimiss ni supu za...
Mume karudi nyumbani akiwa njwii, maji yamemfika mpaka shingoni. Mke akamwuliza, Mume wangu mbona umelewa hivi, twende nionyeshe ulikuwa unakunywa wapi. Mume akampeleka kwenye baa ya mama muuza...
Jetu na mume wake walipendana sana, walipenda kucheka,kucheza na kufanya kila aina ya mbwembwe ili mradi tu kila 1 anadhihlisha uwepo wake kwa mwenzake, Jetu baada ya muda alipata...