Jamaa mmoja alikwenda oa Tanga, alipokuja nae mke Dar siku ya 7 akamwambia mkewe asubuhi kuwa usiku watakula nje. mume kurudi jioni akamkuta mkewe ameshatoa meza na viti nje ya nyumba anamsubiri mume wapate kula.
Si afadhali amemkuta ametoa nje meza ya kulia chakula, angekuwa ana uelewa vizuri wa tafsida angeshangaa tayari ameshagawa unyumba nje, ashukuru sana huyu jamaa!
Jamaa mmoja alikwenda oa Tanga, alipokuja nae mke Dar siku ya 7 akamwambia mkewe asubuhi kuwa usiku watakula nje. mume kurudi jioni akamkuta mkewe ameshatoa meza na viti nje ya nyumba anamsubiri mume wapate kula.
mmmmhhh!! huyo c mdigo wa tanga, mi nnavyo wafahamu, cdhani kama angekuwa na ushamba wa namna hii, these mamaz are
vere janja bana, iko kukulowekea nguo...maji weka iliki nk. tabloo wenyewe mpasa sahau liko toka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.