Mm ni mwanafunz wa kidato cha tano katika shule maarufu sana hapa nchini, Jana usiku nimekutwa na kasheshe baada ya kukutwa na teacher nikiwa na simu alafu shule yenyewe hairuhusu mwanafunzi yoyote kumiliki simu.
Na nilikua busy kwa JamiiForums nikichangia matopics ya wanaJF.
Sasa, uongoz wa shule umenipiga suspension ya wiki tatu na sijui nitamwambia nini BiMkubwa home?
Aisee mwenye chochote anisaidie nipate cha kumwambia BiMkubwa.
Na nilikua busy kwa JamiiForums nikichangia matopics ya wanaJF.
Sasa, uongoz wa shule umenipiga suspension ya wiki tatu na sijui nitamwambia nini BiMkubwa home?
Aisee mwenye chochote anisaidie nipate cha kumwambia BiMkubwa.