February Maropes, Hatari kwa Tanzania. Inabidi Akamatwe

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
Siku kadhaa zilizopita, tuliwaonya kwamba Kijana February Maropes, ni hatari kwa usalama wa Tanzania, lakini kwa bahati mbaya, kila tunapoanzisha thread za kumuweka wazi (uhaini wa kijana February wa Bumbuli-ko) madhambi yake ya kifisadi; uhusiahano wake na na RA, EL na kashfa nyingi alizofanya; hasa kuuuza siri za nyingi kwa mataifa makubwa, moderator mara nyingi anazima hoja zetu ghafla. Huyu kijana ni hatari kwa Tanzania, nasubiri siku wiki-leaks zinatoka kama hamtamuona kijana alaivyokuwa akiiba siri ikulu na kuwapelekea wazungu. Hata siri za ikulu nyingi huyu kijana kaiba na kumpelekea RA na EL. Huyu kijana kapokea hea nyingi sana kutoka kwa hawa mafisadi wakuu. Maropes Jr. Tunaomba ukanushe, kwa maana tunayo orodha ndefu sana ya matendo yako ambayo tutayamwaga hadharani siyo tu jamii forums ila pia kwa Usalama wa Taifa

*******
Siyo Tuhuma. Subirini wikileaks zaidi zitoke. Huyu kijana alikuwa akipeleka habari kutoka IKULU ubalozi wa marekani. Ushahidi tunao, na viongozi wengi ndani ya chama tawala wanalifahamu hilo. Licha ya yote, USALAMA wa taifa inafahamu kwamba kijana alikuwa kiiba nyaraka, hata na hotuba za Rais na kumpelekea RA na EL kabla hata Rais kutoa hotuba hizo.Yaani hata kabla neno alijatangazwa, wamarekani tayari walishafikishiwa habari na JM. Subirini Wikileaks zaidi ambazo zitatoka hivi karibuni......ili muamini hizi habari..................................
 
Waziri wa Nishati na Madini ametoa mpya kama mzee wa mipasho, nashangaa amedandia hoja ya CHADEMA. Baada ya kupewa mabillioni na RA, Inteligensia za kigeni, wahindi nk. leo anageuka kutokutaka posho za wabunge..... huyu si ni katibu wa CCM? Jamani huyu mbona kaanza mapema sana kuropoka au ni damu ya Nanihiiii????????? Basi hapa Ngeleja anapumua, kwani ahachi kumuandika ngeleja

UVCCM tumeshamuona huyu mtu kuwa ndumi la kuwili........ Nashangaa anatangaza kuwa anakuwa rais 2015???? Kwa nchi gani? Ubunge ulazimishiwe na baba urais na nani?
 
Hizi habari siyo mpya, Huyu kijana alianza kuwa agent mda mrefu sana. Nashangaa alitaka kupewa uwaziri.... This guy needs to be charged with treason
 
Siku kadhaa zilizopita, tuliwaonya kwamba Kijana February Maropes, ni hatari kwa usalama wa Tanzania, lakini kwa bahati mbaya, kila tunapoanzisha thread za kumuweka wazi (uhaini wa kijana February wa Bumbuli-ko) madhambi yake ya kifisadi; uhusiahano wake na na RA, EL na kashfa nyingi alizofanya; hasa kuuuza siri za nyingi kwa mataifa makubwa, moderator mara nyingi anazima hoja zetu ghafla. Huyu kijana ni hatari kwa Tanzania, nasubiri siku wiki-leaks zinatoka kama hamtamuona kijana alaivyokuwa akiiba siri ikulu na kuwapelekea wazungu. Hata siri za ikulu nyingi huyu kijana kaiba na kumpelekea RA na EL. Huyu kijana kapokea hea nyingi sana kutoka kwa hawa mafisadi wakuu. Maropes Jr. Tunaomba ukanushe, kwa maana tunayo orodha ndefu sana ya matendo yako ambayo tutayamwaga hadharani siyo tu jamii forums ila pia kwa Usalama wa Taifa
mmekosana nini na huyu dogo?kama una data zilete acha kutishia.
 
Ukileta habari kama hii inabidi uende mbali zaidi, hauwezi kumtuhumu mtu alafu usitoe evidence, nafikiri ungetoa ushuhuda wa hayo unayoyasema ili wachangiaji pia wawe na uwanja mpana wa kujadili zaidi, vinginevyo inaweza kutoa picha labda mna matatizo yenu binafsi
 
mmekosana nini na huyu dogo?kama una data zilete acha kutishia.

Hakuna bifu, hii ni ukweli, alafu huyu kijana anakivuruga UVCCM...... akidhania kwamba hatumjui. Huyu ndiye anayemchafua, kwa kuanika mambo ambayo siyo kweli dhidi ya Riz1. Sababu, alinyimwa uwaziri..............
 
Hakuna bifu, hii ni ukweli, alafu huyu kijana anakivuruga UVCCM...... akidhania kwamba hatumjui. Huyu ndiye anayemchafua, kwa kuanika mambo ambayo siyo kweli dhidi ya Riz1. Sababu, alinyimwa uwaziri..............
kwa hiyo umetumwa na Riz1??hebu weka clear hii thread yako,mambo ya UVCCM yaje baadae.
 
Hakuna bifu, hii ni ukweli, alafu huyu kijana anakivuruga UVCCM...... akidhania kwamba hatumjui. Huyu ndiye anayemchafua, kwa kuanika mambo ambayo siyo kweli dhidi ya Riz1. Sababu, alinyimwa uwaziri..............
Mh my dia jipange upya urudi ur so cheap
 
Siku kadhaa zilizopita, tuliwaonya kwamba Kijana February Maropes, ni hatari kwa usalama wa Tanzania, lakini kwa bahati mbaya, kila tunapoanzisha thread za kumuweka wazi (uhaini wa kijana February wa Bumbuli-ko) madhambi yake ya kifisadi; uhusiahano wake na na RA, EL na kashfa nyingi alizofanya; hasa kuuuza siri za nyingi kwa mataifa makubwa, moderator mara nyingi anazima hoja zetu ghafla. Huyu kijana ni hatari kwa Tanzania, nasubiri siku wiki-leaks zinatoka kama hamtamuona kijana alaivyokuwa akiiba siri ikulu na kuwapelekea wazungu. Hata siri za ikulu nyingi huyu kijana kaiba na kumpelekea RA na EL. Huyu kijana kapokea hea nyingi sana kutoka kwa hawa mafisadi wakuu. Maropes Jr. Tunaomba ukanushe, kwa maana tunayo orodha ndefu sana ya matendo yako ambayo tutayamwaga hadharani siyo tu jamii forums ila pia kwa Usalama wa Taifa*******Siyo Tuhuma. Subirini wikileaks zaidi zitoke. Huyu kijana alikuwa akipeleka habari kutoka IKULU ubalozi wa marekani. Ushahidi tunao, na viongozi wengi ndani ya chama tawala wanalifahamu hilo. Licha ya yote, USALAMA wa taifa inafahamu kwamba kijana alikuwa kiiba nyaraka, hata na hotuba za Rais na kumpelekea RA na EL kabla hata Rais kutoa hotuba hizo.Yaani hata kabla neno alijatangazwa, wamarekani tayari walishafikishiwa habari na JM. Subirini Wikileaks zaidi ambazo zitatoka hivi karibuni......ili muamini hizi habari..................................
Nna uhakika kakuchukulia.
 
Huyu kijana alikuwa akipeleka habari kutoka IKULU ubalozi wa marekani. Ushahidi tunao, na viongozi wengi ndani ya chama tawala wanalifahamu hilo. Licha ya yote, USALAMA wa taifa inafahamu kwamba kijana alikuwa kiiba nyaraka, hata na hotuba za Rais na kumpelekea RA na EL kabla hata Rais kutoa hotuba hizo.Yaani hata kabla neno alijatangazwa, wamarekani tayari walishafikishiwa habari na JM.
sasa hata yale manung'uniko ya Hosea yaliyopatikana kwenye ubalozi wa marekani yalipelekwa na Makamba jr?
 
Siku kadhaa zilizopita, tuliwaonya kwamba Kijana February Maropes, ni hatari kwa usalama wa Tanzania, lakini kwa bahati mbaya, kila tunapoanzisha thread za kumuweka wazi (uhaini wa kijana February wa Bumbuli-ko) madhambi yake ya kifisadi; uhusiahano wake na na RA, EL na kashfa nyingi alizofanya; hasa kuuuza siri za nyingi kwa mataifa makubwa, moderator mara nyingi anazima hoja zetu ghafla. Huyu kijana ni hatari kwa Tanzania, nasubiri siku wiki-leaks zinatoka kama hamtamuona kijana alaivyokuwa akiiba siri ikulu na kuwapelekea wazungu. Hata siri za ikulu nyingi huyu kijana kaiba na kumpelekea RA na EL. Huyu kijana kapokea hea nyingi sana kutoka kwa hawa mafisadi wakuu. Maropes Jr. Tunaomba ukanushe, kwa maana tunayo orodha ndefu sana ya matendo yako ambayo tutayamwaga hadharani siyo tu jamii forums ila pia kwa Usalama wa Taifa

*******
Siyo Tuhuma. Subirini wikileaks zaidi zitoke. Huyu kijana alikuwa akipeleka habari kutoka IKULU ubalozi wa marekani. Ushahidi tunao, na viongozi wengi ndani ya chama tawala wanalifahamu hilo. Licha ya yote, USALAMA wa taifa inafahamu kwamba kijana alikuwa kiiba nyaraka, hata na hotuba za Rais na kumpelekea RA na EL kabla hata Rais kutoa hotuba hizo.Yaani hata kabla neno alijatangazwa, wamarekani tayari walishafikishiwa habari na JM. Subirini Wikileaks zaidi ambazo zitatoka hivi karibuni......ili muamini hizi habari..................................

Mtu kama wewe mwenye uwezo wa kupata habari za siri kutoka ikulu na kwa viongozi waandamizi wa nchi za nje unategemewa kuwa mtu mwenye uelewa mkubwa hasa juu ya haki zako za kiraia. Hivyo hatua za kufanya ili kutimiza haki yako ya kiraia, ni kumfungulia kesi mahakamani mtuhumiwa kwa kuhatarisha usalama wa taifa, huko utautoa huo ushahidi ambao hauitajiki sana hapa JF zaidi ya kuendekeza malumbano yasiyo na tija.
 
Elezeni tangible thing acheni blaa blaa. We do not care kilichopo moyoni mwake (wastage of time) tudiscuss kile akisimacho. can you prove hata kile slaa anachokihubiri ndo kilichopo moyoni mwake? rethink.
 
Mwingereza,huyu jamaa kakufanya nini mbona unamsakama sana?Kwenye thread yako nyingine umesema ni hatari kwa usalama wa Taifa.Hebu funguka utuambie kilichoko ndani yako/unachokifahamu maana inaonekana kuna mambo mengi kumhusu unayajua.
 
Ukweli hata akiuongea shetani haubadiliki kuwa uongo...., kwahiyo hata nani akitetea ufujaji wa kodi zote ni bora zaidi..., the more the merrier
 
Hapa naona ni Character assassination tu inafanyika, hakuna ushahidi unaoweza kunishawishi kukubaliana na hoja yako...
 
Waziri wa Nishati na Madini ametoa mpya kama mzee wa mipasho, nashangaa amedandia hoja ya CHADEMA. Baada ya kupewa mabillioni na RA, Inteligensia za kigeni, wahindi nk. leo anageuka kutokutaka posho za wabunge..... huyu si ni katibu wa CCM? Jamani huyu mbona kaanza mapema sana kuropoka au ni damu ya Nanihiiii????????? Basi hapa Ngeleja anapumua, kwani ahachi kumuandika ngeleja

UVCCM tumeshamuona huyu mtu kuwa ndumi la kuwili........ Nashangaa anatangaza kuwa anakuwa rais 2015???? Kwa nchi gani? Ubunge ulazimishiwe na baba urais na nani?
Kweli wewe ni mwingereza,lakini mimi sijakuelewa vizuri unamzungumzia January au Ngeleja? emu funguka vizuri ueleweke..
 
Back
Top Bottom