Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Siku kadhaa zilizopita, tuliwaonya kwamba Kijana February Maropes, ni hatari kwa usalama wa Tanzania, lakini kwa bahati mbaya, kila tunapoanzisha thread za kumuweka wazi (uhaini wa kijana February wa Bumbuli-ko) madhambi yake ya kifisadi; uhusiahano wake na na RA, EL na kashfa nyingi alizofanya; hasa kuuuza siri za nyingi kwa mataifa makubwa, moderator mara nyingi anazima hoja zetu ghafla. Huyu kijana ni hatari kwa Tanzania, nasubiri siku wiki-leaks zinatoka kama hamtamuona kijana alaivyokuwa akiiba siri ikulu na kuwapelekea wazungu. Hata siri za ikulu nyingi huyu kijana kaiba na kumpelekea RA na EL. Huyu kijana kapokea hea nyingi sana kutoka kwa hawa mafisadi wakuu. Maropes Jr. Tunaomba ukanushe, kwa maana tunayo orodha ndefu sana ya matendo yako ambayo tutayamwaga hadharani siyo tu jamii forums ila pia kwa Usalama wa Taifa
*******
Siyo Tuhuma. Subirini wikileaks zaidi zitoke. Huyu kijana alikuwa akipeleka habari kutoka IKULU ubalozi wa marekani. Ushahidi tunao, na viongozi wengi ndani ya chama tawala wanalifahamu hilo. Licha ya yote, USALAMA wa taifa inafahamu kwamba kijana alikuwa kiiba nyaraka, hata na hotuba za Rais na kumpelekea RA na EL kabla hata Rais kutoa hotuba hizo.Yaani hata kabla neno alijatangazwa, wamarekani tayari walishafikishiwa habari na JM. Subirini Wikileaks zaidi ambazo zitatoka hivi karibuni......ili muamini hizi habari..................................
*******
Siyo Tuhuma. Subirini wikileaks zaidi zitoke. Huyu kijana alikuwa akipeleka habari kutoka IKULU ubalozi wa marekani. Ushahidi tunao, na viongozi wengi ndani ya chama tawala wanalifahamu hilo. Licha ya yote, USALAMA wa taifa inafahamu kwamba kijana alikuwa kiiba nyaraka, hata na hotuba za Rais na kumpelekea RA na EL kabla hata Rais kutoa hotuba hizo.Yaani hata kabla neno alijatangazwa, wamarekani tayari walishafikishiwa habari na JM. Subirini Wikileaks zaidi ambazo zitatoka hivi karibuni......ili muamini hizi habari..................................