Kisa!

kipakaMwitu

Senior Member
Feb 19, 2009
158
20
Jetu na mume wake walipendana sana, walipenda kucheka,kucheza na kufanya kila aina ya mbwembwe ili mradi tu kila 1 anadhihlisha uwepo wake kwa mwenzake, Jetu baada ya muda alipata mimba,akajifungua mtoto, baada ya muda mumewe alinotice kupngua kwa mapenz kutoka kwa mkew, ya kwamba jetu alikoncentrate na mtoto kulko mumewe. Akaamua afanye mbinu ya kumuua mtoto il kurejesha mapenz na mkewe. Cku moj akaamka mapema alfajir akapaka maziwa ya J sumu ili akimnyonysha mtoto afe. Akatoka akawa anavuta sigara nje huku akisikilizia, mara yowe! Akakuta houseboy ndo kafa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom