JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Some of you might like to know what the supervisor is really saying in all those glowing employee work performance evaluations s/he keeps cranking out. AVERAGE: Not too bright. EXCEPTIONALLY WELL...
0 Reactions
0 Replies
805 Views
....The boss (Director) came early morning in the office and found his manager kissing his secretary... He shouted at him angrily,''Is this what I pay you for?'' The manager replied, ''No Sir...
0 Reactions
0 Replies
880 Views
Katika sherehe moja baada ya mnyama mbuzi kuchinjwa,jamaa walichukua korodani zake na kuanza kuziandaa kwa ajili ya kuzila.Katikati ya maandalizi mara akaja mtoto mmoja,akidhani kwamba yale ni...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Huyu jamaa sitakanimsahau kwa kesi yake ilivyokuwa......natamani ningemjua yule jaji aliyefanya kazi hiyo.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni uonevu usiopimika kwa waziri wa maliasili kumfukuza kazi mkurugenzi wa wanyamapori. Kwa nini asiwaachie wanyamapori wenyewe wamfukuze mkurugenzi wao kama hawamtaki.....?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
It was the first day of school and a new student named Chandrashekhar Subrahmanyam entered the fourth grade. The teacher said, "Let's begin by reviewing some American History. Who said...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Mwalimiu wa shule ya msingi alikuwa anawaeleza wanafunzi wake kuwa yeye ni CCM damdam na amefurahi kuwa raisi aliyepo madarakani ni kutoka CCM. Akawataka wanafunzi wake ambao na wao ni CCM kama...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama ulivyo ustaarabu unapofika ugenini lazima ubishe hodi uweze kukaribishwa! Hodi jamani! Mgeni wenu hodi!
0 Reactions
9 Replies
2K Views
nimewahi kusikia kuwa zipo dawa,chemicals ambazo ukipulizia ukutani majumbani.mbu hawakanyagi kabisa nyumbani kwako kwa miezi kadhaa mwenye kujua hizo dawa,please na wapi zinapatikana naomba...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Ni mwezi wa tano sasa suti yangu haijakamilika, njoo kesho au wiki ijayo ndio jibu nililokuwa napewa kila nikimuona. Ilibidi niazime suti ya kaka wakati wa sherehe iliyokusudiwa niivae hiyo suti...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Nimechukungulia forums ya malaria sugu imekuwa ikiandama sana Chadema, wale user waliokuwa wakilalamika sana hapa jf naona wamepotelea huko. Nawatakia masiha mema ktk forums yao. wapotee huko...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Baada ya hali ya maisha kubana kishenzi walevi waliokuwa wamezoea kupata kilaji kwa staili ya weita lete mbilimbili kama tulivyo wamebuni mbinu mpya. Mlevi anayeona hawezi kumudu kuagiza raundi...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
padri mmoja kila apitapo kijijini kuelekea kanisani humpata mmasai amekaa nje ya nyumba na mbuzi wake aliempenda sana.siku hio padri alimrai mmasai waende kanisani.kwa jinsi mmasai alivyompenda...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Zookeeper Friedrich Riesfeldt ( Paderborn , Germany ) fed his constipated elephant 22 doses of animal laxative and more than a bushel of berries, figs and...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Inajulikana kwamba paka hata ukimrusha vp,kamwe hataangukia mgongo.Lakini ukimchukua paka huyo huyo,ukampaka asali vidoleni,mwache aionje kidogo halafu mrushe juu uone.Paka akiwa na asali vidoleni...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Nimebahatika kuiona clip ya Mchungaji Faustin Munishi akikemea pepo CCM,CCM pepo kabisa,shindwa,shindwa kabisa,pepo mchafu,kikwete pepo,shindwa,shindwa kwa jina la Yesu. Unajua nimegundua watu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Source Yahoofriends Morning Motivation When I woke up this morning lying in bed, I wasasking myself; What are some of the secrets of success in life? I found the answer right there, in my very...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamaa tamaa zilimshika, akaanza kutaka zaidi, na zaidi, na zaidi...mpaka.... The Black Hole - YouTube
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kawaida, dogo katoka shule ile anafika tu home mother wake akamkamata na kuanza kumuuliza walichofundishwa... Kwa comfidence dogo akamjibu tumefundishwa hesabu kwa kiingereze, so mother...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna jamaa alikuwa na matatizo ya uzazi, alipokwenda kwa dokta akapimwa, lakini dokta akazippenda korodani za mshkaji kutokana na size yake,akaamua kuzichukua na kuziweka kama kumbukumbu, in...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Back
Top Bottom