The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,883
nimewahi kusikia kuwa zipo dawa,chemicals ambazo ukipulizia ukutani
majumbani.mbu hawakanyagi kabisa nyumbani kwako kwa miezi kadhaa
mwenye kujua hizo dawa,please na wapi zinapatikana
naomba amwage data hapa.....
how to have a malaria free home,please
majumbani.mbu hawakanyagi kabisa nyumbani kwako kwa miezi kadhaa
mwenye kujua hizo dawa,please na wapi zinapatikana
naomba amwage data hapa.....
how to have a malaria free home,please