Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,549
Kuna jamaa alikuwa na matatizo ya uzazi, alipokwenda kwa dokta akapimwa, lakini dokta akazippenda korodani za mshkaji kutokana na size yake,akaamua kuzichukua na kuziweka kama kumbukumbu, in return akachonga viazi na kumuwekea mshikaji kama korodani, baada ya wiki mbili dokta akakutana na jamaa akamuuliza anaendeleaje, jamaa akajibu " KIAFYA NAJISKIA VIZURI ILA HUKU CHINI BADALA YA KUOTA ZILE NYWELE SASA IVIYANAOTA MATEMBELE!"