Je wajua kwamba...

Je wajua kwamba...

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Inajulikana kwamba paka hata ukimrusha vp,kamwe hataangukia mgongo.Lakini ukimchukua paka huyo huyo,ukampaka asali vidoleni,mwache aionje kidogo halafu mrushe juu uone.Paka akiwa na asali vidoleni ni lazima atatua kwa mgongo au kiubavu,hayuko tayari hata siku moja kuchafua asali vidoleni,you just go and try this at home.
 
sio kwa ajili ya utamu wa asali bali hudhani alichokikanyaga kitamchafua zaidi kama akikikanyagia...
 
Inajulikana kwamba paka hata ukimrusha vp,kamwe hataangukia mgongo.Lakini ukimchukua paka huyo huyo,ukampaka asali vidoleni,mwache aionje kidogo halafu mrushe juu uone.Paka akiwa na asali vidoleni ni lazima atatua kwa mgongo au kiubavu,hayuko tayari hata siku moja kuchafua asali vidoleni,you just go and try this at home.
<br />
<br />
sipendi ma paka we ungejua bora ungenambia mapema nisifungue thread yako, nyaauuuu.!!
 
why should I do that to poor paka......?
 
Nampenda paka wangu,isije ikawa kweli nikamvunja mbavu au mgongo. Sijaribu ng'o!!
 
Back
Top Bottom