Ukipanic ndio maisha yanakushughulikia vizuri

Ukipanic ndio maisha yanakushughulikia vizuri

Matunzo 02

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2026
Posts
832
Reaction score
1,643
Maisha hayapendi ujinga:
Mshahara ukiigia wiki ya kwanza unakula kuku
Wiki ya pili unakula zao la kuku (mayai)
Wiki ya tatu unaanza kula chakula cha kuku(mahindi, mtama)
Wiki ya nne unakuwa kuku yenyewe (kuzurura tu)
TWAMBIE WEWE MAISHA YANAKUSHUGHULIKIAJE¿
 
Maisha hayapendi ujinga:
Mshahara ukiigia wiki ya kwanza unakula kuku
Wiki ya pili unakula zao la kuku (mayai)
Wiki ya tatu unaanza kula chakula cha kuku(mahindi, mtama)
Wiki ya nne unakuwa kuku yenyewe (kuzurura tu)
TWAMBIE WEWE MAISHA YANAKUSHUGHULIKIAJE¿
Uwezi kuishi bila changamoto labda kama upaniki unaosema uwe unaishi porini au kaburini
 
Maisha hayapendi ujinga:
Mshahara ukiigia wiki ya kwanza unakula kuku
Wiki ya pili unakula zao la kuku (mayai)
Wiki ya tatu unaanza kula chakula cha kuku(mahindi, mtama)
Wiki ya nne unakuwa kuku yenyewe (kuzurura tu)
TWAMBIE WEWE MAISHA YANAKUSHUGHULIKIAJE¿
Ukifanya kazi sehemu ambapo wanaishi kwa kutegemea mishahara tu, Maisha yanakuwa magumu Sana. Yaani ukikuta hakuna posho zinginezo, Maisha yanakuwa magumu Sana
 
Sisi wafugaji tunakula kuku pale tunapofulia yaani huna hela ya kula unawaambia ingia bandani kamata kuku maisha yaendelee
 
Back
Top Bottom