Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,086
- 62,002
Kazi ya mikono ni kulima, kufuga, kujenga, kutengeneza vitu n.k
We mikono yako, unaitumia kwa kazi zipi?
We mikono yako, unaitumia kwa kazi zipi?
Kukata miti ,kupanga magogo,kuchoma mkaa ,kupagia mkaa kwenye viroba na kisha kwenye gari kwenda kuuza.Kazi ya mikono ni kulima, kufuga, kujenga, kutengeneza vitu n.k
We mikono yako, unaitumia kwa kazi zipi?
Ameshiba huyu, ndio maana anachezesha mikono
Jipongeze kwa kujipigia makofiKukata miti ,kupanga magogo,kuchoma mkaa ,kupagia mkaa kwenye viroba na kisha kwenye gari kwenda kuuza.
Kula chakula.
Kuchakata susumbu -roreteka
Siyo kweliAmeshiba huyu, ndio maana anachezesha mikono
Usijekulalamika mahindi yanapanda beiUkilima wewe inatosha boss kazi
Ukweli ni upi?Siyo kweli
Baki na mahindi yako tu pesa sabuni ya rohoUsijekulalamika mahindi yanapanda bei
Kupaka rangi kucha za wakinadada maofisiniKazi ya mikono ni kulima, kufuga, kujenga, kutengeneza vitu n.k
We mikono yako, unaitumia kwa kazi zipi?
Kwenye mahaba 😜Kazi ya mikono ni kulima, kufuga, kujenga, kutengeneza vitu n.k
We mikono yako, unaitumia kwa kazi zipi?
Vipi mkuu, kilimo cha tangawizi huko kinalipa?
"Kukunja Skanka"""
Unga ukifikia kilo 5000, utamlalamikia nani?Baki na mahindi yako tu pesa sabuni ya roho
Hutojenga nyumba weweKupaka rangi kucha za wakinadada maofisini
Kusugua eneo 😄Kazi ya mikono ni kulima, kufuga, kujenga, kutengeneza vitu n.k
We mikono yako, unaitumia kwa kazi zipi?
Ni mwendo aa bia na nyama choma nyingiUnga ukifikia kilo 5000, utamlalamikia nani?
Nimejaribu kuvuta hisia, nimejikuta natetemeka mwili mzima, ebu geuka nyuma nikuone.Kwenye mahaba 😜
Lisugue tuKusugua eneo 😄