Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 367,361
- 849,628
First generation ndio imetoa viongozi wengi sana hasa wa kisiasa na maarufu..
Hao pamoja na anonymous na elites wengine ndio wamesimika mizizi ya heshima ya JF
Lakini hapo hapo yakafanyika makosa ya kibinadamu kwenye kutambuana kati ya member wapya na wazamani
Hii hali ndio ilipelekea JF second generation ambayo ilizalisha mada maarufu za Makapuku forum ambao nai wakabaguana na kupelekea kuzalisha Mada ya likes.. Yaani hata ukikomenti hewa unapata likes za kutosha😂
Kubaguana na kunyimana ama kupeana likes kulichangia pakubwa umaarufu wa hii mada!
Sasa tuko JF third generation GEN-Z😂
Je ni makosa yapi yanafanyika?
Je itakuja na kipi kipya kuponya hayo makosa?
Je itakuwa ni kuharibu zaidi?
Hao pamoja na anonymous na elites wengine ndio wamesimika mizizi ya heshima ya JF
Lakini hapo hapo yakafanyika makosa ya kibinadamu kwenye kutambuana kati ya member wapya na wazamani
Hii hali ndio ilipelekea JF second generation ambayo ilizalisha mada maarufu za Makapuku forum ambao nai wakabaguana na kupelekea kuzalisha Mada ya likes.. Yaani hata ukikomenti hewa unapata likes za kutosha😂
Kubaguana na kunyimana ama kupeana likes kulichangia pakubwa umaarufu wa hii mada!
Sasa tuko JF third generation GEN-Z😂
Je ni makosa yapi yanafanyika?
Je itakuja na kipi kipya kuponya hayo makosa?
Je itakuwa ni kuharibu zaidi?