JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
  • Closed
NILIOMBA TSH 20,000 LEO... LAKINI KUNA KITU KIKUBWA ZAIDI NILICHOKIPATA. Leo nimejifunza kwamba maisha yanaweza kukushusha mpaka ukafikia hatua ambayo hukuwahi kufikiria. Unaweza kuamka ukiwa na...
3 Reactions
13 Replies
286 Views
Yaani ni makebo juu ya makebo, tena hadi mtu anakatakiwa usoni kabisaa sura haionekani😁 Ngoja niwahi nyumbani aissee
16 Reactions
38 Replies
1K Views
Wapendwa.. Kwanini Watanzania wanapenda singeli.. kijana ukimpa nyimbo ya boni mwaitege na d voice au malume.. atachagua malume.. hivi hili mnalionaje???
10 Reactions
45 Replies
431 Views
Nimeenda kwa duka nikanunua ice cream mimi sjawai kutumia.nimeuma icecream kama mkate aisee kitu ni baridi.leo ndoh nimejua kuwa inalambwa sio kuumwa.
0 Reactions
2 Replies
53 Views
Wengine sijui ndio umri au vipi, hizi lugha za mtaani zinaanza kutupita sasa. Rafiki wa girlfriend au mkeo akikuita shem darling anamaanisha nini. Hii shem darling ni jina, utani au code?
15 Reactions
108 Replies
1K Views
Unajua kioo cha kweli ni macho ya watu na jamii kwa ujumla, sio unajifungia ndani, unajiangalia af unasema we mzuri. acha jamii iamue wewe uko kundi gani. Mimi nilijijua kwa namna watu...
7 Reactions
45 Replies
449 Views
  • Closed
Naomba Mkopo wa TSh 20,000 – Nimekwama kwa Sasa Habari wakuu wa JamiiForums. Naomba kwa heshima kama kuna mdau mwenye uwezo wa kunikopesha TSh 20,000. Kwa sasa nimejikuta kwenye kipindi kigumu...
11 Reactions
162 Replies
1K Views
Haya haya wambea wenzangu njooni..!! 😹 Juzi kati nilishikwa na homa. Sasa kuna mtoto wa sis angu alikuja kunisalimia ni mwanachuo wa chuo kimoja hapa jijini..!! Tukaanza kupiga story na kupeana...
21 Reactions
163 Replies
3K Views
Nimekutana na utani mwingi huko Tiktok unaosema kuwa “Unatoka out na mpenzi wako afu mnapanda bodaboda? Sasa io ni out au delivery mwanetu????" 😂 Kwa mimi ninavyoelewa Boda boda au Pikipiki ni...
10 Reactions
172 Replies
1K Views
sisi ni mandege wakuu hapa JF hamna wakulinganishwa nasi.ukileta za kuleta tunakudonoa na midomo yetu.
6 Reactions
17 Replies
201 Views
siri gani inayomfanya mtu mzima ashindwe kusahau mapenzi yake ya kwanza? Karibuni jukwaani tufunguke."
6 Reactions
76 Replies
512 Views
Kumbukumbu zangu zote naweka hapa kwenye huu uzi soon mtapenda
5 Reactions
88 Replies
1K Views
Unajua kwanini tuna vioo majumbani na wengine kwenye mapochi? Kupendeza! Unajua ni kwanini mara nyingi huchagua viwalo? Kupendeza! Unajua kwanini baadhi yetu hupenda watu watuangalie na...
54 Reactions
10K Replies
382K Views
MEN ARE SIMPLE, unamsaidia leo 50k baada ya miaka kumi unashangaa anakupigia simu akulipe fadhira karibia mara 50 yake, unamwambia NO ila ana insist.
6 Reactions
6 Replies
116 Views
Habari za sku nyingi wakuu
3 Reactions
15 Replies
114 Views
Kichwa kinajieleza. Ni jukwaa gani unalipenda sana humu yani..¡! Kila ukiingi jf hile jukwaa ni lazima ulitembelee tu Ni zipi sababu za wewe kulipenda hilo jukwaa..? Binafsi muda mwingi nipo...
0 Reactions
2 Replies
39 Views
Je, ni bora kulipia gharama kubwa ili kuokoa muda na usafiri, au kuishi mbali kwa gharama nafuu?
2 Reactions
4 Replies
86 Views
  • Closed
Unajua kuna vitu vinashangaza sana, kwanini mtu uwe mnafki kiasi kwamba unajinafkia hadi wewe mwenyewe, Jana katika kuranda randa kwangu hapa JF nikakutana na uzi wa Masai Dada anamuomba msamaha...
14 Reactions
110 Replies
1K Views
  • Closed
Kuna kipindi nilikuwa naamini ipo siku mtu atakuja abadilishe maisha yangu. Nilisubiri nafasi, nilisubiri bahati, nilisubiri msaada. Lakini kadiri miaka ilivyopita, nikagundua kuwa muda ndio...
27 Reactions
55 Replies
587 Views
Back
Top Bottom