Bado?Ngoja kwanza nimalize kufuta machozi na kamasi, afu kwikwi ikikata.
Nitarudiii, 🏃🏃
Mapenzi ya kwanza ndio huwa yanatufundisha maana ya wivu, maana ya kusalitiwa, maana ya kumkumbuka mtu, na maana ya kupenda. Yaani hapo ndipo mtu huwa anajua kuwa yeye ni ni mtu wa aina gani kwenye uhusiano.Mapenzi ya kwanza ndio huwa yanatufundisha maana ya wivu, maana ya kusalitiwa, maana ya kumkumbuka mtu, na maana ya kupenda. Yaani hapo ndipo mtu huwa anajua kuwa yeye ni ni mtu wa aina gani kwenye uhusiano.
Huwezi kusahau darasa lililokupa msingi wa maisha yako yote ya mahusiano, it's simply impossible.
😹😹😹Ngoja kwanza nimalize kufuta machozi na kamasi, afu kwikwi ikikata.
Nitarudiii, 🏃🏃
Pampula 😅😅😅😅Mimi sina ex hivyo sikumbuki chochote..!!
Wee ushakuwa kicheche mafile yote yamefutika..!! 😹Mbona mimi nakumbuka husiano langu la Sasa hivi tu 😝.
Wee ushakuwa kicheche mafile yote yamefutika..!! 😹Mbona mimi nakumbuka husiano langu la Sasa hivi tu 😝.
Vibuyu 😹😹Pampula 😅😅😅😅
😅😅😅😅 🙆Wee ushakuwa kicheche mafile yote yamefutika..!! 😹
Halafu husiano la kwanza linakuwaga kati ya mtu asie na Pesa ( Pampula) 😝 na mdada anaehudumiwa na wazazi wakeVibuyu 😹😹
Mtsiewwww 😹😅😅😅😅 🙆
Sina File hata Moja
Na Roho ya huruma Sina 😜