Sipendi watu wanafiki na waongo mimi

Sipendi watu wanafiki na waongo mimi

Status
Not open for further replies.

Dr. Mariposa

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
5,479
Reaction score
18,115
Unajua kuna vitu vinashangaza sana, kwanini mtu uwe mnafki kiasi kwamba unajinafkia hadi wewe mwenyewe,

Jana katika kuranda randa kwangu hapa JF nikakutana na uzi wa Masai Dada anamuomba msamaha mpenzi wake Smart kwa kuandika uzi wa kusema kua anahisia na wanawake zaidi kuliko wanaume, (wait, how comes Smart, i thought Smart is taken, mmh! maajabu hayaishi)

Anyways, huyu bibie ameshakua ananikandia sana hadi nikawa namshangaa unajua mimi ni msiri eeh kuna mambo yanapita afu unakausha life linasonga,
Nilikua nasema of all people why you Masai, we had a great time leo unanikandia hadharini!!! ooh yes yeye hanikumbuki ooops! nilisahau hiki kipengele,

I used to have this ID back days nikasahau password na email that was the end of it, hii Id mind you ni ya mwaka 2014 so you can imagine, those days we were happy but for you to admit it that means you cannot escape of who you are,

Mpo wengi tu humu ila angalau wengi wenu hamuongei mnakausha, i call that a maturity,

Wito wangu msiwe wanafki wanafki kuweni neutral tu.

Ndo kwanzaaaa chupa ya pili kabla sijanyang'anywa simu
 

Attachments

  • Snapchat_20260805.jpg
    Snapchat_20260805.jpg
    130.2 KB · Views: 8
Tragic!

At first nilijua hizi ID mbili masai dada na Dr. Mariposa ni mtu mmoja

Anyway around here, everyone looks perfect until you get close enough to really know them, cause we all got a side that doesn't match our image. So don't be surprised if someone you deeply respect today ends up disappointing you tomorrow, once you see that other side.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom