Vimaneno gani mwenzako akikuambia vinakuchanganya mkiwa mnapeana raha kitandani au hata akiwa anakuchombeza kabla ya mechi?
(wanaume waambieni wake zenu ni watamu hata kama ni kinafiki, huyu wangu...
Kuna watu humu ndani ni wataalam sana wa kumwaga like...
Sasa kama hujawahi kupewa like na leo dada na raraa reree tafadhali jitathmini sana.
Nani wengine unahisi wanafaa kushindana na hawa...
First generation ndio imetoa viongozi wengi sana hasa wa kisiasa na maarufu..
Hao pamoja na anonymous na elites wengine ndio wamesimika mizizi ya heshima ya JF
Lakini hapo hapo yakafanyika makosa...
Kuna aina mbili za watu humu JF.
Kundi la kwanza linaingia kupambana. Lengo lao ni kushinda hoja, kuthibitisha wako sahihi na kumfanya mpinzani akubali.
Halafu kuna kundi la pili... sisi.
Sisi...
hawa watu wanaweza ongea neno ukajiuliza mara mbilimbili ni yeye au limetoka kwenye kinywa cha mtu mwingine mtazame sura sasa so innocent lazima atawaacha midomo wazi na kushikilia mbavu
Akili...
Kwenye mduara utamkuta amevaa nguo ya kubana na aanze kukatika kiasi kwamba bwana camera na wale wauzuliaji wote wanamgeukia.
Kila muda ataaamka atembee tembee mara aende kwa DJ mara vinywaji
Bi mkubwa leo katoa chozi kwa sababu ya pombe zangu, pombe hainiharibii chochote
Bi mkubwa hataki kabisa
Naaga jamani, mimi mwenyewe chozi limenitoka limenitoka😪😪
Mwanetu sana Intelligent businessman kimya sana kaka. Kama upo offline it’s alright ila kama umeisoma hi post login ujibu PMs.
I know June was bad for us ila naamini tumeuvuka brother.
King Kong III
Mandingo
secretarybird
Moisemusajiografii
Kipindi kile mnanunua CD, mnaficha kwenye mabegi yenu mnasubiria baba na mama waondoke ili mkawake kupitia tv chogo ya sharp😁
Mlivyokuwa...
Maisha hayapendi ujinga:
Mshahara ukiigia wiki ya kwanza unakula kuku
Wiki ya pili unakula zao la kuku (mayai)
Wiki ya tatu unaanza kula chakula cha kuku(mahindi, mtama)
Wiki ya nne unakuwa kuku...
Wanatech karibuni kwenye uzi wetu mpya ambao utakuwezesha ku'share stori ama tukio lolote unalolikumbuka kipindi unasoma pale tech.
Welcome Technical Boys.
Kama jibu lako litamshawishi mtoa ajira au mwenye ajira, jiandae kupata ajira kwa haraka Zaidi.
Hakuna haja ya kulala njaa au kulalamika huna kazi, wakati ujuzi wa kuzalisha faida unao.
Aya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.