JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Katika jamii ya Kitanzania, baadhi ya mifugo kama vile mbuzi na ng’ombe hufariki wanapokula maganda ya mihogo mibichi. Hali hii huwastaajabisha wafugaji wengi, kwa kuwa mihogo hiyo huwa salama na hata tamu kwa matumizi ya binadamu, lakini inapoliwa na baadhi ya mifugo husababisha madhara makubwa, ikiwemo kifo. ufuatiliaji ambao umefanywa umebainisha kuwa Mihogo ina kemikali zinazoitwa cyanogenic glycosides (hasa linamarin na lotaustralin). Kemikali hizi zikivunjika ndani ya mwili au wakati mihogo inapokatwa/kupondwa, hutengeneza hydrogen cyanide (HCN) ambayo ni sumu kali ndani ya mwili wa mnyama Utafiti ambao umefanywa Tweyongyere,R. & Katongole (2002)umeeleza kuwa sehemu ya nje ya muhogo mara nyingi ina kiwango kikubwa cha cyanide...
Kuna habari nzito mno huko mashariki ya kati.....Kaka yake Benjamen Netanyahu anayeitwa Iddo Nafanyahu wameangamizwa tayari Iddo Netanyahu alipigwa na Kombora la Iran wakati nyumba ya Benjamen Netanyahu ilivyoangamizwa na kuteketezwa na Kombora la Iran Huyu Itaman Ben Gvir taarifa zinasambaa ameuliwa tayari,na wanajiandaa kutangaza kuwa kafa kwa ajali ya gari.....Taarifa nyingine zinadai kajeruhiwa vibaya mnoo na yupo ICU... Benjamen Netanyahu ni miongoni mwa walojeruhiwa japo yeye amepata majeraha kidogo tu Mtoto wa Waziri wa Fedha wa Israel Bezalel Smotrich ambaye taarifa za mwanzo za uhakika kabisa alijeruhiwa kaskazini mwa Israel baada ya kupigwa na vipande vya Kombora la Hezbollah yeye amejeruhiwa vibaya sana taarifa zinadai...
Wanaukumbi. BREAKING 🚨 Marekani imetangaza kujiondoa katika kambi za kijeshi nchini Qatar, Bahrain, Kuwait, Iraq, Jordan, Falme za Kiarabu, Syria na nchi nyingine za Ghuba. Picha zinaonyesha wazi kuwa Iran imeshinda vita hivi. ================ For English Audience ================ BREAKING 🚨The US has announced the withdrawal from military bases in Qatar, Bahrain, Kuwait, Iraq, Jordan, the United Arab Emirates, Syria, and other Gulf countries. The footage clearly shows that Iran has won this war‼️
Kwa sasa kumekuwepo na taarifa amabayo imechapishwa kwenye mtandao wa kijamii wa facebook kwenye ukurasa wa Katunzi Blog ukiwa na nukuu ya Iran imetoa amri ya kupiga risasi raia anayesimama na Israel Katika chapisho limeonekana kuwa na nukuu hii "Baba na mama, kama mwana wako au binti yako hawasikilizi, si kosa letu. Yeyote leo kwenye ardhi ya Iran anayetoa sauti au wimbo kutoka kooni mwake ambao unalingana na adui,miguu yake iko chini ya Tel Aviv na kichwa chake ni Netanyahu. Amri ya kumpiga risasi imetolewa. Niwaambie tu hili kwasababu hamna aliewahi kuwaambia hatutaki mtoto wako auawe kwisa ujinga wake au kutoelewa kwake" -Salar Velayatmadar kamanda wa ngaiz ya juu jeshi la IRGC Katika kufuatilia uhalisia wa chapisho hilo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…