Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Timu ya Taifa ya Ubelgiji inaendelea kutifuana na Misri katika mchezo wa Kundi G wa Kombe la Dunia 2026.
0 Reactions
3 Replies
143 Views
Aaaah kubeti ni ussenger kmmk. Nimempa Spain Mazima, nimeweka 1,724,000/= baada ya kuongea na boss Mad Max akaniahidi kupata kigari cha bei nafuu nikaamua nikuze mtaji kwa kuweka mechi za uhakika...
12 Reactions
60 Replies
882 Views
Kama umekuwa ukiangalia mechi za Japan mashindano ya Kimataifa hususan mechi ya kombe la dunia 2026 dhidi ya Uholanzi na kujiuliza ''Hivi huyu kipa mjapan mweusi ni nani?'' basi jua hauko peke...
3 Reactions
6 Replies
354 Views
Timu ya TAIFA ya MOROCCO Kila uchao Inaonesha mabadiliko ya Kasi kubwa SANA katika ugaa wa soka Morocco wanatufundisha nini maana ya UWEKEZAJI katika Soka Angalia viwanja vituo vya kuibua vipaji...
7 Reactions
20 Replies
454 Views
Naangalia match sasa hivi. Huyu kipa wa Cape Verde ni hodari sana. Ameokoa the IMPOSSIBLES! Nadhani ball control ni over 90% for Spain, Lakini kipa wa Verde ameokoa magoli mengi!.... Mimi siyo...
2 Reactions
3 Replies
155 Views
Shirikisho la Soka la Tunisia limeamua kuachana na kocha mkuu Sabri Lamouchi mara moja kufuatia kipigo walichopata dhidi ya Sweden kwenye mchezo wa ufunguzi. Mipango inaendelea ya kumteua Mondher...
1 Reactions
5 Replies
141 Views
  • Featured
Kiungo fundi bwana mdogo wa miaka 18, Ayyoub Bouaddi, amezitikisa hisia za mashabiki wa soka ulimwenguni kufuatia kiwango bora cha kipekee alichokionesha kwenye mchezo wake wa kwanza wa Kombe la...
8 Reactions
15 Replies
742 Views
Hii ni kauli ya kiongozi wa Simba baada ya mechi Yao MENEJA PATRICK REYEMAMU 🚨 "Kuna namna sisi kama Simba matokeo yetu tunavyoyapata, sidhani kama kuna timu hapa nchini ingeweza kuyapata kwa...
1 Reactions
2 Replies
173 Views
Kwa wapenda soka wa club za hapa nchini. Kama mtakumbuka miaka ya mwanzoni mwa 1990 club ya simba ilikuwa na wafadhili SHAFI BORA na AHMED BORA. Siwasikii siku hizi, WAPO WAPI??? TUJUZANE
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hatimaye Serikali kupitia king'amuzi cha star times wametangaza rasmi kuonesha fainali za mwaka huu za kombe LA dunia. Kwa wale wenye ving'amuzi vya star times na dstv tu ndio wataweza kuona mechi...
0 Reactions
156 Replies
19K Views
Hii ni kweli kabisa na limeonekana wazi kabisa katika mechi ya leo. Ni neema na kudra za Mwenyezi Mungu tu TUMETOKA salama Wana Simba wachezaji wametoka Salama uwanjani. Ilaaniwe timu ya PAMBA...
5 Reactions
14 Replies
361 Views
Matukio ya watu wa Afrika ya kusini kushambulia, kufukuza na kuua wafrika toka nchi zingine za Afrika hsyajaanza mwaka huu. Serikali ya Afrikavya kusini haijawahi kuchukua hatua madhubuti ya...
3 Reactions
13 Replies
276 Views
Pamba United ilikuwa timu iliyokuwa inamilikiwa na chama cha ushirika cha Nyanza Cooperative Union, ambacho kilikuwa kinajihusisha na zao la pamba tu. Timu hii ilipofufuliwa tena chini ya...
7 Reactions
17 Replies
304 Views
hawacheki na nyau. wakifika kwneye 18 ni mafataki tu hawa mbwa. nilikuwa namwonea huruma golie wa team yetu ya Tunisia. nikasema leo mbona kazi ipo. si kwa mawe yale waliyokuwa wkairusha langoni...
1 Reactions
0 Replies
128 Views
Ingawa mimi ni shabiki mkongwe wa Albiceleste, na bado naimani kubwa sana na chama langu kubeba kombe hili (Back to Back) Lakini kwa upande wa Afrika nipo na chama langu The Atlas na mabingwa wa...
1 Reactions
6 Replies
144 Views
Mimi ni Mtanzania mpenda soka. Nafuatilia kwa karibu sana kombe la dunia mwaka huu, kama ilivyo,kila mtu huwa anachagua timu ya kushabikia katika mashindano haya basi hata mimi nimemchagua mkoloni...
2 Reactions
6 Replies
126 Views
Salaam to everyone. Hopefully everyone is having a great weekend out there. Kama inavyojulikana kwamba kila ubaya lazima ulipwe hapa hapa duniani. Na Leo kwenye muendelezo wa mashindano ya FIFA...
10 Reactions
180 Replies
3K Views
  • Featured
Timu ya taifa ya England imepata pigo kubwa kabla ya mechi yao ya kwanza ya Kombe la Dunia. Kiasi kikubwa cha vifaa vya timu kimeibwa Kansas City, Marekani, wakati vilipokuwa vinasafirishwa kutoka...
8 Reactions
40 Replies
1K Views
Timu ya Taifa ya Ujerumani imeanza kwa kishindo Michuano ya Kombe la Dunia 2026 kwa kupata ushindi mnono wa Magoli 7-1 katika mchezo wao wa kwanza hatua ya makundi dhidi Curacao. ###########...
7 Reactions
46 Replies
907 Views
Leoo kazi ipo wakamariaa kaeni mbalili na Simba. Waashakata tamaaaa Leo msishangae wakifungwa ama Kudrow Sema Amina yaradiii
1 Reactions
8 Replies
262 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…