Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Mfalme wa safu ya kiungo ya PSG. Ndiye pekee kati ya viungo watatu wa kwanza wa PSG aliyedumu dakika zote 120. Na katika muda wa nyongeza, alikuwa tishio kubwa zaidi la PSG katika mashambulizi...
3 Reactions
7 Replies
337 Views
Pia soma... ~ Serengeti Boys yatinga Fainali ya AFCONU17 2026, baada ya kumuondoa Misri kwa mikwaju ya penati ~ Makonda: Kila Mkoa tuweke screen kubwa kuangalia heshima inayojengwa na vijana wetu...
5 Reactions
6 Replies
267 Views
Mjadala huu umekuwa mkubwa hasa kutokana na viwango walivyoonesha makipa wote. Je, kocha wa Uhispania aendelee kumuamini Unai Simón ambaye amekuwa chaguo la kwanza kwenye mechi zote za kufuzu...
3 Reactions
5 Replies
247 Views
Hata wenyewe mmeona, wanatumiwa nauli na kupewa posho nzito akina Drogba, lakini nyinyi mliotoa Jasho na damu kwa ajili ya Nchi yenu mnaendelea kupigwa vumbi Pole Lunyamila na wenzako, Tenda Wema...
3 Reactions
9 Replies
345 Views
Muda mrefu sana umepita tangu kushuhudia timu iliyokamilika kama hii PSG! Hivi imekuwaje timu kongwe na kubwa za ulaya zimeruhusu PSG akusanye kikosi kilichokamilika namna hii!? Huyo dogo Neves...
38 Reactions
154 Replies
7K Views
Uza vinicius, tchoumeni, rudiger Nunua elliot anderson, nunua olise, nunua dimarco Endrick arudi kutoka mkopo Manstatuono aende mkopo Alafu tengeneza hichi kikosi 4-2-3-1 GK: cortouis RB...
3 Reactions
11 Replies
300 Views
Huyu jamaa Pep Guardiola kocha mstaafu wa Man City anasifa za kibaguzi sana. Hapendi wachezaji weusi wa kiafrika. Yahya Toure na Samuel Etoo wameshawahi kumlalamikia sana. Iliniuma sana...
10 Reactions
50 Replies
1K Views
Arsenal Bwana, Acha tufurahie tu ubingwa….. Nakumbuka mwaka 2012 ilikua siku ya tarehe 28/8. Nikiwa kidato cha tano Rungwe sekondari, Tukuyu. Hii siku ilianza kama siku zingine za kwaida tu...
3 Reactions
16 Replies
346 Views
Yaan8 ni kipofu Hata mashabiki wake ni vilaza
4 Reactions
13 Replies
280 Views
Bila shaka ata uko mlipo wenzangu mji umepoa sasa
7 Reactions
10 Replies
241 Views
  • Poll Poll
Arsenal akishinda nipewe ban ya siku 3, nimechoka kelele zao😵‍💫' Aloooo hawa watu wana keleleee sanaaaaaaà, unawanaonea huruma wana miaka ya mtu mzima bila kombe ila wakishinda hatunywi maji...
11 Reactions
484 Replies
8K Views
Neymar ameripotiwa kuumia siku cjache kabla ya Kombe la Dunia kuanza na ataukosa michezo wa Brazil dhidi ya Morocco Katika majumuisho ya awali, kocha Carlo Ancelotti alikuwa amemuacha staa huyo...
2 Reactions
14 Replies
405 Views
ROBO FAINALI ITAKUWA HIVI: Portugal vs Netherlands Spain vs France England vs Germany Belgium vs Brazil NUSU FAINALI: Portugal vs Spain England vs Brazil FAINALI: Portugal vs Brazil MSHINDI...
12 Reactions
32 Replies
577 Views
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imetoa zawadi ya sh. milioni 500 kwa Timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 17 (Serengeti Boys) kwa kufanikiwa kutinga hatua ya...
2 Reactions
39 Replies
604 Views
Kumpa kijana huyu mikoba ya kufundisha Arsenal itakuwa kamari ya kijinga sana kuicheza na nachukua nafasi hii kupinga kabisa njama hizo . Arteta aliyezaliwa 26/3/1982 hana uzoefu wa maana wala...
23 Reactions
555 Replies
36K Views
Nauliza tu kwa Uzuri siyo kwa ubaya. Yuko wapi yule mwanajamvi aliyesema Mikel Arteta hafai kuwa kocha wa Arsenal? Ni vizuri kuweka akiba ya maneno. 'Mungu mbariki Arteta' 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
6 Reactions
41 Replies
4K Views
Bayern Munich Vs PSG; Leo! leo! leo! kazi ipo Ubavu chuma upande mwanaume mashine Bayern Munich, wakiwa nyumbani katika dimba la Allianz Arena mbele ya mashabiki wao, wanawakaribisha Paris...
4 Reactions
69 Replies
1K Views
  • Redirect
Arsenal hawatutishi ngoja muone tunavyo wasindikiza nyumban.
0 Reactions
Replies
Views
🚨Magori anasema Barker alisema Uza. Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba, Crescencius Magori, amefichua siri nzito ya jinsi klabu hiyo ilivyolazimika kufanya biashara ngumu ya...
4 Reactions
8 Replies
483 Views
Ndo hivyo enyi haters, historia inaendelea kuandikwa..........kwa kifupi, enyi haters mtayamaliza maji yenu yote makali yanayotengenezwa na maini sababu ya mafanikio ya mumchukiae!! Yatadondokea...
6 Reactions
68 Replies
838 Views
Back
Top Bottom