Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Shirikisho la Mpira Duniani (FIFA) bado lina takriban viti 180,000 ambavyo havijauzwa katika miji inayoandaa michuano hiyo Marekani, Canada, na Mexico. Hali hii inazua hofu mpya kwamba viwanja...
3 Reactions
20 Replies
411 Views
Nimekudharau sana bwana mdogo kwa kurubuniwa kizembe sana na kukubali kuingia mkenge wa kutua ndani ya bunge la Tanzania, umebugi sana! Bunge la Tanzania halijawahi kusaidia mwanamichezo yeyote...
7 Reactions
86 Replies
8K Views
Mimi naona Man Utd tusajili Baleba asiame pale kama kiungo mkabaji. Tuachane na wakina Elliot na Eernandes ambao bei zao zimepanda kama mafuta https://youtu.be/9dgybqMhuwQ?si=n9KjnnHPMwqsngQL
1 Reactions
4 Replies
106 Views
Michezo si burudi sasa ni sayansi, technolojia na unawagusa hata watu ambao unawezahisi hawausiki mf mainjinia, maprofesa, madokta kwa ufupi yaani wataalamu wa PCM, PCB wanausika na fulsa zipo kwa...
1 Reactions
2 Replies
106 Views
Aliyekuwa Mtangazaji wa Wasafi Media Diva kaamua Kufunguka makubwa Mimi siyo wakwanza kuacha kazi Wasafi Kisa Mishahara ni wengi pia wanao lalamika lakini ndo hivyo hawana pakwenda.Huyo Aaliya...
15 Reactions
46 Replies
1K Views
World Cup 2026 prize money – how much do teams earn for taking part and winning? THE 2026 FIFA World Cup will reportedly have a record prize pool, a stark increase from the £380million ($440m) up...
1 Reactions
0 Replies
266 Views
Sura nyingi za wachambuzi wa kombe la dunia kupitia Azam TV mwaka huu hazitii moyo wala hazifahamiki. Tutegemee kuwa "bored" au? Tuwachambue hapa! Dr Leakey sawa, Kumwembe sawa, Meena sawa lakini...
0 Reactions
2 Replies
184 Views
  • Featured
Shirikisho la Soka la Iran (FFIRI) limesema kuwa FIFA au mamlaka za Marekani zimeondoa mgao wa tiketi uliokuwa umetengwa kwa mashabiki wa Iran kwa mechi zote tatu za hatua ya makundi...
4 Reactions
26 Replies
852 Views
Sasa sababu ya Trump akalazimisha kinguvu michuano hio ifanyike nchini kwake ili kujipa ujiko usio na maana yoyote , Sasa tunaona michuano imeshakua MIBOVU hata kabla haijaanza...joto Kali...
7 Reactions
17 Replies
416 Views
Mwamuzi wa Somalia, Omar Artan, amerejea Mogadishu na kulakiwa kama shujaa baada ya kunyimwa idhini ya kuingia nchini Marekani, pigo ambalo litamzuia kuweka historia katika Kombe la Dunia la FIFA...
0 Reactions
7 Replies
262 Views
With the 2026 FIFA World Cup set to kick off, FIFA President Gianni Infantino is facing growing scrutiny as a series of controversies threaten to overshadow the world's biggest football...
0 Reactions
1 Replies
293 Views
Ni miaka 16 toka tumebeba taji letu la kwanza na sasa ni wakati wetu kunyanyua makwapa Kwa mara ya pili Njoo apa tukutane tushauriane kuhusu team yetu na tupeane updates mbali mbali
5 Reactions
17 Replies
214 Views
BREAKING NEWS…!! SERENGETI BOYS WAVUNJA KAMBI NA VILIO KIBAO Timu ya Taifa ya Soka ya U17 ya Tanzania (Serengeti Boys) imevunja kambi yake leo pale Tiffany Diamond Hotel huku wachezaji...
5 Reactions
29 Replies
525 Views
Leverkusen na Real Madrid, Xabi Alonso, kwa ajili ya uwezekano wa kumteua msimu huu wa kiangazi, huku uongozi wa klabu hiyo ukitarajiwa kufanya maamuzi magumu kuhusu mustakabali wa Arne Slot...
2 Reactions
1 Replies
343 Views
Baada ya mjadala kuwa mkali mtandaoni kuhusu ahadi ya serikali kwa timu hizo kugeuka hewa, Msigwa amekuja kutoa ufafanuzi, kuwa wanazifanyia kazi na mchakato unaendelea, huku kwa Tanzanite Queens...
0 Reactions
14 Replies
344 Views
Habari za mida hii wadau wote wa Jamii Forum hasa wapenda Mpira kama mimi. Katika pita pita zangu nimekutana na App safi kabisa inarusha mechi zote za Kombe la Dunia pia na Mechi za Bongo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
🇵🇹 PORTUGAL NATIONAL TEAM Portugal ni moja ya mataifa yaliyobadilika sana kwenye historia ya soka duniani. Kutoka taifa lililokuwa halipewi nafasi kubwa, mpaka kuwa moja ya nguvu kubwa Ulaya na...
1 Reactions
7 Replies
259 Views
Kinda wa Kitanzania Barka Seif Mpanda amejiunga rasmi na academy ya klabu ya Fc Barcelona ya nchini Hispania akitokea Fc Damm ya nchini humo Kiwango bora alchokionesha akiwa fc Damm ambapo kwa...
10 Reactions
20 Replies
500 Views
Hatimaye , nimeacha chuo kwa sababu ya AVIATOR. Kwa wale wote walioruhusu mchezo huu nchini, endeleeni kubarikiwa!!.
4 Reactions
13 Replies
289 Views
Watu tofauti wamelalamikia video za mapokezi ya timu ya taifa ya Senegal walipofika kwenye kiwanja cha ndege nchini Marekani, inasemekana walipekuliwa na kuhojiwa kupita kiasi, nahodha wa timu yao...
1 Reactions
4 Replies
246 Views
Back
Top Bottom