Shirikisho la Mpira Duniani (FIFA) bado lina takriban viti 180,000 ambavyo havijauzwa katika miji inayoandaa michuano hiyo Marekani, Canada, na Mexico. Hali hii inazua hofu mpya kwamba viwanja...
Nimekudharau sana bwana mdogo kwa kurubuniwa kizembe sana na kukubali kuingia mkenge wa kutua ndani ya bunge la Tanzania, umebugi sana!
Bunge la Tanzania halijawahi kusaidia mwanamichezo yeyote...
Mimi naona Man Utd tusajili Baleba asiame pale kama kiungo mkabaji. Tuachane na wakina Elliot na Eernandes ambao bei zao zimepanda kama mafuta
https://youtu.be/9dgybqMhuwQ?si=n9KjnnHPMwqsngQL
Michezo si burudi sasa ni sayansi, technolojia na unawagusa hata watu ambao unawezahisi hawausiki mf mainjinia, maprofesa, madokta kwa ufupi yaani wataalamu wa PCM, PCB wanausika na fulsa zipo kwa...
Aliyekuwa Mtangazaji wa Wasafi Media Diva kaamua Kufunguka makubwa
Mimi siyo wakwanza kuacha kazi Wasafi Kisa Mishahara ni wengi pia wanao lalamika lakini ndo hivyo hawana pakwenda.Huyo Aaliya...
World Cup 2026 prize money – how much do teams earn for taking part and winning?
THE 2026 FIFA World Cup will reportedly have a record prize pool, a stark increase from the £380million ($440m) up...
Sura nyingi za wachambuzi wa kombe la dunia kupitia Azam TV mwaka huu hazitii moyo wala hazifahamiki. Tutegemee kuwa "bored" au?
Tuwachambue hapa! Dr Leakey sawa, Kumwembe sawa, Meena sawa lakini...
Shirikisho la Soka la Iran (FFIRI) limesema kuwa FIFA au mamlaka za Marekani zimeondoa mgao wa tiketi uliokuwa umetengwa kwa mashabiki wa Iran kwa mechi zote tatu za hatua ya makundi...
Sasa sababu ya Trump akalazimisha kinguvu michuano hio ifanyike nchini kwake ili kujipa ujiko usio na maana yoyote ,
Sasa tunaona michuano imeshakua MIBOVU hata kabla haijaanza...joto Kali...
Mwamuzi wa Somalia, Omar Artan, amerejea Mogadishu na kulakiwa kama shujaa baada ya kunyimwa idhini ya kuingia nchini Marekani, pigo ambalo litamzuia kuweka historia katika Kombe la Dunia la FIFA...
With the 2026 FIFA World Cup set to kick off, FIFA President Gianni Infantino is facing growing scrutiny as a series of controversies threaten to overshadow the world's biggest football...
Ni miaka 16 toka tumebeba taji letu la kwanza na sasa ni wakati wetu kunyanyua makwapa Kwa mara ya pili
Njoo apa tukutane tushauriane kuhusu team yetu na tupeane updates mbali mbali
BREAKING NEWS…!!
SERENGETI BOYS WAVUNJA KAMBI NA VILIO KIBAO
Timu ya Taifa ya Soka ya U17 ya Tanzania (Serengeti Boys) imevunja kambi yake leo pale Tiffany Diamond Hotel huku wachezaji...
Leverkusen na Real Madrid, Xabi Alonso, kwa ajili ya uwezekano wa kumteua msimu huu wa kiangazi, huku uongozi wa klabu hiyo ukitarajiwa kufanya maamuzi magumu kuhusu mustakabali wa Arne Slot...
Baada ya mjadala kuwa mkali mtandaoni kuhusu ahadi ya serikali kwa timu hizo kugeuka hewa, Msigwa amekuja kutoa ufafanuzi, kuwa wanazifanyia kazi na mchakato unaendelea, huku kwa Tanzanite Queens...
Habari za mida hii wadau wote wa Jamii Forum hasa wapenda Mpira kama mimi.
Katika pita pita zangu nimekutana na App safi kabisa inarusha mechi zote za Kombe la Dunia pia na Mechi za Bongo...
🇵🇹 PORTUGAL NATIONAL TEAM
Portugal ni moja ya mataifa yaliyobadilika sana kwenye historia ya soka duniani.
Kutoka taifa lililokuwa halipewi nafasi kubwa, mpaka kuwa moja ya nguvu kubwa Ulaya na...
Kinda wa Kitanzania Barka Seif Mpanda amejiunga rasmi na academy ya klabu ya Fc Barcelona ya nchini Hispania akitokea Fc Damm ya nchini humo
Kiwango bora alchokionesha akiwa fc Damm ambapo kwa...
Watu tofauti wamelalamikia video za mapokezi ya timu ya taifa ya Senegal walipofika kwenye kiwanja cha ndege nchini Marekani, inasemekana walipekuliwa na kuhojiwa kupita kiasi, nahodha wa timu yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.