Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Hii rekodi inayowekwa na Serikali ya awamu ya sita kwenye sekta ya michezo mbalimbali kuanzia soka Hadi mbio haijawahi wekwa hapo kabla. Wakati haters wa mama walipojitokeza kusema anaingiza...
3 Reactions
29 Replies
419 Views
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Paul Makonda baada ya timu vijana ya Serengeti Boys kupoteza fainali ya AFCON U17 mbele ya Senegal
4 Reactions
10 Replies
320 Views
Wakuu, Wabunge waliosafiri kwenda Nchini Morocco wakiwashangilia Serengeti boys baada ya mchezo wa Fainali ya AFCON U-17 waliyopoteza kwa mikwaju ya penalti dhidi ya Senegal
1 Reactions
2 Replies
190 Views
Mkuu wa mkoa wa Daressalam Mh Paul Makonda ameteuliwa kuwa mshauri mkuu bodi ya timu ya Simba
4 Reactions
89 Replies
11K Views
Uzi tayari.......... https://www.liverpoolecho.co.uk/sport/football/football-news/liverpool-sack-arne-slot-iraola-34037279
0 Reactions
4 Replies
206 Views
Hii ni kwa sababu nina chuki na serikali ya Tanzania iliyoingia madarakani kwa mauaji Timu zetu zikishinda sifa wanapewa wauaji walioingia madarakani kwa damu za maelfu ya Wananchi. Usijaribu...
13 Reactions
23 Replies
328 Views
Hizi ni fikra zangu tu binafsi, kuwashangilia na kuwatambua kwa ghafla, kuwazawadia, kuwatumia ndege, kuwajazia waheshimiwa tele, huenda vijana wetu wakaingia ubaridi hofu na woga, maana...
1 Reactions
19 Replies
319 Views
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda amewataka wakuu wa mikoa Nchini kote Siku ya Jumanne, Juni 2, 2026 Kila Mkoa waweke Luninga kubwa ili watu watazame fainali ya...
0 Reactions
19 Replies
469 Views
HERE WE GO! Kwa mujibu wa Fabrizio Romano na Sky Sport Manchester United imefikia makubaliano ya Kumunua kiungo wa mpira kutoka Atalanta ya Italy kwa kiasi cha €45 sawa na £39 na nyongeza...
0 Reactions
0 Replies
87 Views
Mashindano ya Africa Cup of Nations (AFCON) kwa vijana wa umri chindi ya miaka 17, mwaka 2026 yameanza kutimua vumbi nchini Morocco kuanzia tarehe 13 May, 2026. Sisi Tanzania, vijana wetu wa...
3 Reactions
27 Replies
404 Views
Endapo Arsenal itatwwa ubingwa wa EPL mambo mengi yanaweza kutokea/kubadilika. Haya 👇ni baadhi tu. 1. Paul kagame atakuwa kibonge maana Arsenal ndo club aioendayo duniani. 3. Mashabiki wa...
11 Reactions
91 Replies
2K Views
Kwa wenzangu mnaofuatilia soka la kina mama hapa Tanzania na huko duniani je hao wachezaji wa kike nao wana watoto na huku bado wachezaji? Nafikilia ajira ya mpira wa miguu kwa wanawake na jinsi...
1 Reactions
8 Replies
227 Views
  • Redirect
Kila la heri SERENGETI BOYS 🇹🇿💪
0 Reactions
Replies
Views
Soka la sasa limetawaliwa na peni zaidi kuliko vipaji kwaiyo msimu huu tusitegemee namba 9 asili,tusitemegee kuona wapiga vichwa hodari,tusitegemee wawinga wengi wanaokimbia kushoto na kulia...
0 Reactions
2 Replies
122 Views
Wakuu Bila shaka unakumbuka vizuri kuhusu utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu jijini Dodoma, ambao ulitangazwa kuwa ni miongoni mwa miradi ya kimkakati kwa ajili ya...
1 Reactions
13 Replies
628 Views
  • Redirect
Ni siku nyingine kubwa na ya kihistoria kwa soka la Afrika ambapo miamba miwili inakutana uwanjani. Serengeti Boys ya Tanzania inashuka dimbani kumenyana na mmoja wa majitu ya soka barani Afrika...
0 Reactions
Replies
Views
4-2-3-1 amnunue lewis hall LB, mateus fernandes CM, ederson CM, martim fernades RB, lewandowski ST Auze mazroui, ugarte, zirkzee, rashford, onana, bayandir, GK: Lammens RB: martim fernandes LB...
0 Reactions
0 Replies
92 Views
Watu wengi kwenye betting wanaogopa odds kubwa lakini ukweli ni kwamba kuna baadhi ya special options zina odds ndogo kabisa kama 1.2–1.4 ila ndio zina mitego ya ajabu sana Zinaonekana rahisi...
1 Reactions
4 Replies
222 Views
Beki na nahodha wa zamani wa Manchester United na England, Rio Ferdinand ameweka wazi kuwa kwa sasa kazi zake zinamfanya alipwe kiwango kikubwa mara mbili ya kili alichokuwa akikipata alipokuwa...
3 Reactions
12 Replies
579 Views
Mfalme wa safu ya kiungo ya PSG. Ndiye pekee kati ya viungo watatu wa kwanza wa PSG aliyedumu dakika zote 120. Na katika muda wa nyongeza, alikuwa tishio kubwa zaidi la PSG katika mashambulizi...
3 Reactions
7 Replies
337 Views
Back
Top Bottom