Hii rekodi inayowekwa na Serikali ya awamu ya sita kwenye sekta ya michezo mbalimbali kuanzia soka Hadi mbio haijawahi wekwa hapo kabla.
Wakati haters wa mama walipojitokeza kusema anaingiza...
Wakuu,
Wabunge waliosafiri kwenda Nchini Morocco wakiwashangilia Serengeti boys baada ya mchezo wa Fainali ya AFCON U-17 waliyopoteza kwa mikwaju ya penalti dhidi ya Senegal
Hii ni kwa sababu nina chuki na serikali ya Tanzania iliyoingia madarakani kwa mauaji
Timu zetu zikishinda sifa wanapewa wauaji walioingia madarakani kwa damu za maelfu ya Wananchi.
Usijaribu...
Hizi ni fikra zangu tu binafsi, kuwashangilia na kuwatambua kwa ghafla, kuwazawadia, kuwatumia ndege, kuwajazia waheshimiwa tele, huenda vijana wetu wakaingia ubaridi hofu na woga, maana...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda amewataka wakuu wa mikoa Nchini kote Siku ya Jumanne, Juni 2, 2026 Kila Mkoa waweke Luninga kubwa ili watu watazame fainali ya...
HERE WE GO!
Kwa mujibu wa Fabrizio Romano na Sky Sport Manchester United imefikia makubaliano ya Kumunua kiungo wa mpira kutoka Atalanta ya Italy kwa kiasi cha €45 sawa na £39 na nyongeza...
Mashindano ya Africa Cup of Nations (AFCON) kwa vijana wa umri chindi ya miaka 17, mwaka 2026 yameanza kutimua vumbi nchini Morocco kuanzia tarehe 13 May, 2026.
Sisi Tanzania, vijana wetu wa...
Endapo Arsenal itatwwa ubingwa wa EPL mambo mengi yanaweza kutokea/kubadilika. Haya 👇ni baadhi tu.
1. Paul kagame atakuwa kibonge maana Arsenal ndo club aioendayo duniani.
3. Mashabiki wa...
Kwa wenzangu mnaofuatilia soka la kina mama hapa Tanzania na huko duniani je hao wachezaji wa kike nao wana watoto na huku bado wachezaji?
Nafikilia ajira ya mpira wa miguu kwa wanawake na jinsi...
Soka la sasa limetawaliwa na peni zaidi kuliko vipaji kwaiyo msimu huu tusitegemee namba 9 asili,tusitemegee kuona wapiga vichwa hodari,tusitegemee wawinga wengi wanaokimbia kushoto na kulia...
Wakuu
Bila shaka unakumbuka vizuri kuhusu utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu jijini Dodoma, ambao ulitangazwa kuwa ni miongoni mwa miradi ya kimkakati kwa ajili ya...
Ni siku nyingine kubwa na ya kihistoria kwa soka la Afrika ambapo miamba miwili inakutana uwanjani. Serengeti Boys ya Tanzania inashuka dimbani kumenyana na mmoja wa majitu ya soka barani Afrika...
Watu wengi kwenye betting wanaogopa odds kubwa lakini ukweli ni kwamba kuna baadhi ya special options zina odds ndogo kabisa kama 1.2–1.4 ila ndio zina mitego ya ajabu sana
Zinaonekana rahisi...
Beki na nahodha wa zamani wa Manchester United na England, Rio Ferdinand ameweka wazi kuwa kwa sasa kazi zake zinamfanya alipwe kiwango kikubwa mara mbili ya kili alichokuwa akikipata alipokuwa...
Mfalme wa safu ya kiungo ya PSG. Ndiye pekee kati ya viungo watatu wa kwanza wa PSG aliyedumu dakika zote 120.
Na katika muda wa nyongeza, alikuwa tishio kubwa zaidi la PSG katika mashambulizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.