BREAKING NEWS…!!
SERENGETI BOYS WAVUNJA KAMBI NA VILIO KIBAO
Timu ya Taifa ya Soka ya U17 ya Tanzania (Serengeti Boys) imevunja kambi yake leo pale Tiffany Diamond Hotel huku wachezaji...
Leverkusen na Real Madrid, Xabi Alonso, kwa ajili ya uwezekano wa kumteua msimu huu wa kiangazi, huku uongozi wa klabu hiyo ukitarajiwa kufanya maamuzi magumu kuhusu mustakabali wa Arne Slot...
Baada ya mjadala kuwa mkali mtandaoni kuhusu ahadi ya serikali kwa timu hizo kugeuka hewa, Msigwa amekuja kutoa ufafanuzi, kuwa wanazifanyia kazi na mchakato unaendelea, huku kwa Tanzanite Queens...
Habari za mida hii wadau wote wa Jamii Forum hasa wapenda Mpira kama mimi.
Katika pita pita zangu nimekutana na App safi kabisa inarusha mechi zote za Kombe la Dunia pia na Mechi za Bongo...
🇵🇹 PORTUGAL NATIONAL TEAM
Portugal ni moja ya mataifa yaliyobadilika sana kwenye historia ya soka duniani.
Kutoka taifa lililokuwa halipewi nafasi kubwa, mpaka kuwa moja ya nguvu kubwa Ulaya na...
Kinda wa Kitanzania Barka Seif Mpanda amejiunga rasmi na academy ya klabu ya Fc Barcelona ya nchini Hispania akitokea Fc Damm ya nchini humo
Kiwango bora alchokionesha akiwa fc Damm ambapo kwa...
Watu tofauti wamelalamikia video za mapokezi ya timu ya taifa ya Senegal walipofika kwenye kiwanja cha ndege nchini Marekani, inasemekana walipekuliwa na kuhojiwa kupita kiasi, nahodha wa timu yao...
Je unawafahamu wachezaji wa mpira wa miguu waliowekeza Tanzania?
Mimi naanza na hawa:
1.Bernad Morrisson
Kajenga nyumba Dar na Mbeya
2.Aubrey Chirwa
Huyu ana mashamba Kagera,Pwani na...
Choosing the right software provider is the single most important decision for long-term success.
As an independent iGaming consultant with hands-on experience across both local and multinational...
Subject: Formal Complaint – Atletico de Utopolo’s Violation of FIFA Regulations
To: Fédération Internationale de Football Association (FIFA)
From: Chief Executive Officer, Wekundu wa Msimbazi...
Ukitazama mahojiano ya watu wa USA,CANADA juu ya miahuano hii wengi wanasifia tamaduni,vivutio vya mjii/miji yenye viwanja vitakavyotumika tu sio kuitangaza USA kiujumla ata CANADA mji wa vankuva...
Huu ndiyo wakati muafaka wa Ureno kubeba kombe la dunia. Ina vipaji lukuki na bado wanaye veteran CR7 wa kuwahamasisha ndani ya uwanja! Bila shaka haya yatakuwa mashindano ya mwisho CR7 kushiriki...
Mei 30, 2026, Arsenal ilipoteza fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG) Kwenye Uwanja wa Puskás Aréna Jijini Budapest nchini Hungary.
Ilipoteza kwa matuta 4-3 baada...
Photo courtesy of the BBC
Danish midfielder and VFL Wolfsburg player Christian Eriksen , 34 has sparked global concern again after collapsing during an international friendly match between...
👉 Tarehe 30 Mei 2026 itabaki kuwa siku ya kukumbukwa kwa mashabiki wa Paris Saint-Germain baada ya kutwaa ubingwa wa UEFA Champions League kwa mara nyingine mbele ya Arsenal katika fainali...
Na Deus M Kibamba
Baada ya kutembelea Morocco na kushuhudia hamasa ya Wananchi wa taifa hilo kwenye soka na miundombinu mizuri na ya kisasa waliyonayo, nimeanza kushawishika kuwa inawezekana...
Miongoni mwa mabadiliko makubwa yatakayotumika katika Kombe la Dunia la 2026 ni:
1. sheria ya kuhesabu sekunde tano kwa mipira ya kurushwa. Ikiwa mchezaji atachelewesha kwa makusudi kuurudisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.