Haya kwa wapenzi wa soka ndio hivyo zimebaki dakika 20 kabla dirisha halijafungwa kwa haraka haraka,
Robinho kutoka Manchester City kwenda AC Milan kwa 15M Euros
Asamoah Gyan kutoka Rennes...
kuna gazeti moja nimesoma kuhusiana na safari ya T. Stars Algeria, limeandika msafara una wachezaji 20 na viongozi 8. hivi ni akina nani( vyeo vyao) ambao ndio hao viongozi 8? nadhani kuna umuhimu...
Nimesoma makala moja iliyotolewa na kocha wa zamani S Mziray kwa kupongeza kuitwa kwenye timu kwa Mchezaji J Kaseja na Chuji. Sina hakika kama kweli kocha wa timu ya taifa anachagua wachezaji au...
Mon Aug 30 10:31pm PDT
Usain Bolt wants to play for Manchester United (seriously)
By Brooks Peck
Since Usain Bolt gained world-wide fame for being ridiculously fast at the 2008 Beijing Olympics...
Kuna aibu zingine ni za kushangaza sana...........
Nilikuwa natazama tv mara habari za michezo
zikafika akatokea mwenyekiti wa taswa.
Eti wameaaamua kumpa jk tuzo ya maalum kwa kujali...
Huenda kauli hii ikawa imeweka historia katika medani ya soka Tanzania. Mwenyekiti wa timu ya Simba Ismail Aden Rage amekanusha taarifa zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa timu hiyo...
My fellow soccer fanatics,
The draw for the group stage of the Europa League is taking place at Monaco's Grimaldi Forum. I am so eager to know the English opponents. Mind you the
final will...
Tokea ligi ya Vodacom ya mwaka jana kumalizika hadi kuanza ligi ya 2010/11 kulikuwepo na muda wa kutosha kukarabati viwanja vitakavyotumika kwa ajili ya ligi ya Vodacom. Uongozi wa uwanja wa Uhuru...
Timu ya soka inayoshiriki ligi kuu ya Uingereza itashuka daraja msimu huu kama itaendeleza u mdebwedo wake.
Habari hii inaweza kuwa n jema kwa wapinzani wao Man United.
Inaniwia vigumu sana kuelewa dhana nzima ya hawa wahusika wanaoendelea na mchakato wa kuufunga uwanja wa uhuru eti usitumike tena kwani utafanyiwa marekebisho, hivi walikuwa wapi kipindi ligi...
Hivi hawa TFF hawana malengo ya kutafuta vyanzo vingine vya kujipatia mapato zaidi ya kung'ang'ania mapato ya mlangoni ktk viwanja? Umefika wakati wa sekta hizi za michezo zipewe watu makini...
BIbi Chausiku Mussa(75) aliposhindwa kuzuia hisia zake na kuanza kucheza wimbo wa 'Alamba' ambao ni wimbo wa taarabu uliokuwa ukiporomoshwa na Mzee Yussuf wa kundi la Jahazi juzi kwenye uzinduzi...
Kenya whipped Tanzania 3-1 in a stormy Group A match on Saturday at the Cecafa Under-20 Championship, virtually booking a place in the semi-finals on Wednesday.
It was an explosive match in...
The U.S. Open kicks off at the end of August, and the worlds best female tennis players will compete for the final Grand Slam title of the year. But the real action is off the court, as these...
Kesho mtanange wa kukata gebe na majigambo ya watani wa jadi utapigwa uwanja wa Taifa kati ya Yanga na Simba. Timu zote tayari zipo mafichoni. Kama kawaida yangu karata naidondosha kwa watoto wa...
Diego Maradona claims he wants the Aston Villa managers job.
The former Argentina boss, 49, is looking for a new post after taking charge of his country at the World Cup where they lost in the...