acha utani!!!!! if its true basi hiyo ni habari njema sana...wacha tufatilie tujue ukweli kabla ya jiono tukajimwage huku tukisubiri "wawa la maini-Liver" na "kamikaze-Man Sisters" (sory wadau wa City) wakiuana J3 katika big match ya Round 2...
Ndio hivyo maana matangazo yao ndio yanatangaza, na wametoa ratiba ya hadi oktoba! TBC1 sijui imekuaje msimu huu au wataonyesha Vodacom Premium League?
Wakuu hivi Star TV wamepata Rights za kurusha Ligi ya Wingereza Live Bila Zengwe? Msimu huu raha tu
Kuna siku niliona matangazo yao kwamba wange onyesha Ligi ya Ujerumani lakini siku hiyo hawakuonyesha...ina maana wataonyesha Ligi ya uingereza na ujerumani.....